Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
oya Mpaji Mungu njoo kuna kazi hukuHiyo , hela nunua jeans kali Tshirt kali na jordan 4 au 1 upendeze
Jamaa kashakuzidi kuwa na pisi unaempenda.Juzi tu hapa kuna demu nilikua namkubali kinoma na so kumkubali tu nilikua nampenda. Nilitumia sana baada ya kumkuta na mishikaji muuza duka🫣. Niliumia sana. Na chaajabu huyo jamaa hajanizidi chochote. Nilipo Kutana naye na kumuuliza akawa anajikanyagakanyaga. Ni nakaachananaye na maisha yanasonga. Hivi viumbe siyo vya kuvizingatia😎😎😎😎😎😎
SawaMwanaume gani unaandika "jamani" acha kelele tuma mualamala hapo muulize kama amepokea akisema bado ongeza muamala wa pili muulize bado haijathibitishwa?
Unasema kweli kabisaMwanaume wa kuendesha mapenzi kwa jeuri ya pesa ni mwanaume dhaifu sana.
Vocal lako kwanza lazime lipenye moyoni kwa binti.
Nguvu ya pesa ukanunulie wanaojiuza barabarani
Bro achana kabisa na wanawake wa kichaga wa hizo pande, ni wana roho mbaya sana na wapo kimasilahi zaidi. Tena akishajua kuwa unampenda ndiyo atakusulubu mpaka uhisi kuchanganyikiwa.True story,
Tangu nimezaliwa mpaka Sasa nishakuwa kwenye mahusiano serious ×3 ukiachana na zile chapa ilale ambazo nimepita mpaka sikumbuki idadi ya nliopitanao, Na kwa Sasa Niko single Wala sipigi chapa ilale tena,
Ila hivi karibuni nimepita changamoto Sana, Kuna mtoto mumoja mchaga wa huru milimani huko kanichanganya sana. Hakika sijawahi penda Kama navyo mpenda yy, nilianza mtafuta tangu mwakajana mwezi wa tano.
Bro/sister nakuambiaje nilikuwa namjali sana, hata akipata tatizo nalichukulia Kama langu nimegharamika Sana kuonesha upendo wa Hali ya juu, lkn huez amini Hyu binti alikuwa ananipiga matukio makali Sana.
Niliumwa kipindi flani na akapata taarifa Ila hakunicheki hata kidogo nilipo mcheki mm tukaongea Kama Lisaa hivi halafu badae akawa hapokei cm Kama wiki hivi, lkn nkiulizia watu wengine anaongea nao, Kuna siku aliniblock bila tatizo lkn nilipo mtafuta kosa likawa langu nikaomba msamaha mm, mwisho kabisa ni juz juz aliacha kupokea sm kwa Mara nyingine tena na na hapo nilipo kuja kumpata (alipopokea) sikumuuliza shida nn maana angekasirika, nikamuomba anipe jibu langu Ila huezi amini dakika za mwisho mtoto hanitaki eti kwakweli unauma Sanaa Wana JF.
Naombeni ushauri wenu.
View attachment 2937143
Ok sawa nishakupendaTo yeye naomba unipende 😅
Wapi huko kiongozioya Mpaji Mungu njoo kuna kazi huku
Sogea karibu nikunong'oneze 😉Hicho ushapata,,niambie kingine kipenz
[emoji23][emoji23][emoji23] aiseehUnaandika meseji ndefu sana. Mademu hawapendi meseji ndefu.
Mi hapa lv🥴Sogea karibu nikunong'oneze 😉
Mkuu huyo ndio vunja beiWapi huko kiongozi
Chapachapa mbaya mwisho wa siku apate la kumpata [emoji3]Kiume kabisa. Uyo demu atakusumbua. Najua ukweli mchungu, ila kwakua ushamwambia hisia, zako. Ebu mpe mida na yeye ajaribu kukupenda. Usimforce.
Sahivi fanya mambo yako. Usimtext hadi akutext. Anza na siku 2 bila kumcheki. Kisha unamcheki. Then unakuja week bila kumcheki. Then unampa hi. Kisha potea mwezi. Bora urudi tabia ya kuchapa chapa kuliko kushusha brand
Sasa ndio Aombe Kupendwa.?Chapachapa mbaya mwisho wa siku apate la kumpata [emoji3]
Ahsante kwa kunikubalia ombi langu, muelekeze mleta bandiko anapofeli na alituma maombi ya kuomba kupendwaMi hapa lv🥴