True Story: Nimefanya ngono zembe na binti mwenye VVU, Leo siku ya 28 toka tukio. Nina stress ya hali ya juu. Nahitaji kupata neno la tumaini

True Story: Nimefanya ngono zembe na binti mwenye VVU, Leo siku ya 28 toka tukio. Nina stress ya hali ya juu. Nahitaji kupata neno la tumaini

🤣 akufundishe gheto hivi mkiwa wawil mnazungumza nini?

haha unajua nina mda gani sijaonja mbusus😬 wanawake wa humu wana roho mbaya hawataki kunisaidia

haha wote tunang'aaa hakuna chausiku wala cheusi😬

Sasa huyu IamBrianLeeSnr anaweza kosea pa kulenga😀
Acha zengwe kaka! Clepatina uliniharibia na huku tena unaharibu pia😂😂😂😂 niachie mama tamuuu huyo ni wangu tuu😂😂😂😂😂😂
 
Bro usiwe kenge, nimeandika kwa staili nipendayo, elimu yangu haikuhusu, pia nimeandika hivyo kukwepa kuandika matusi kwenye thread....ni kama nimetumia euphemism , kwa hiyo tusichoshane fanya yako jamaa sijakulazimisha kusoma uzi wala kukomenti, you better shut the fu*k off.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bro tumia kiswahili tu unaharibu lugha za watu

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Kula maisha.

Ishi kama vile mwanzo tu.

Yaani hata kama usingekimbilia sijui ma Pep sijui ma nini. Ulikuwa salama kuliko kawaidaa!

Ona mtoto umemlia home kwa utulivu mwanana sio vichochoroni. Mtoto alilainika barabara kabisa kwa msosi na wine. Kwa hiyo utelezi ulikuwa utelezi kweli literally. Ondoa shaka.

Lakini pia hata kama ingekuwa sio hivyo. Hivi unafahamu bro kwamba kisayansi na kitakwimu (statistically speaking);
Mwanamke ana hatari ya kuambukizwa ukimwi akifanya mapenzi na muathirika mara karibu alfu moja basi ana hatari moja.(1:1000 encounters!).

Sasa huyo ni mwanamke, kwa mwanaume hatari inapungua mara mbili yake. Yaani akifanya mapenzi na muathirika mara alfu mbili ndio ana hatari moja. Risk in males is 1:2000 sexual encounters.

Ni kazi sana kupata ukimwi kwa normal natural heterosexual encounter. Narudia, ni ngumu sana watu kuambukizana ukimwi kwa ufanyaji mapenzi wa kawaida baina ya MWANAUME na MWANAMKE.
Mzee hicho unachokisema ingekuwa kweli basi ule Uzi wa jamaa wa Mafinga asingeleta hapa inamaana wale jamaa wa Mafinga walikua wanakulana kivingine?

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
dah noma sana asee pole sana,mi ilinitokeaga wakati na mpima mtu mabara sikuvaa grovus na kwenye mkono nilikuwa na kidonda, na kumbuka mgonjwa yule alibakia kama msumali amedhoofika kweli ,nilikuwa na mpima typhoid kwa tile method sa wakati na zungusha kipimo kile zile damu za kwenye kipimo zikadondokea kwenye kidonda changu tena nyingi kweli. aisee nili changanyikiwa nilipewa pep but lakini nikawa sijiamini, nikaanza kukonda kwa mawazo nikawa kama mwathirika watu wakaanza tech ndo bas tena. dah na mshukuru mungu mungu niko poa na wadudu sina, tuweni makini kwani kupata waya ni ajali kama ajali nyingine, kingine mkuu acha mawazo kwani mawazo yana athali kubwa kwa afya yako.kingine wadau mwanamke akikukataa shukuru usinungunike na kujiona mwenye mikosi,shukuru mungu huenda amekuepusha kupata majanga kama haya.
 
Mfalme_wa_Nyika usiwe na mawazo jifanye umesahau/pretend nothng happened yaani idanganye tu nafsi yako hamna kitu kimetokea

Pia sidhani ka utakua unao maana umepima uko negative i think baada ya miezi mitatu utakua tu okei usijali

UKIMWI upo sana tu endelea kuchukua tahadhari hio ni njia aliyoitumia MUNGU kukuonya next time uwe mwangalifu n umshukurusana kwa kulipangua lililokua limepangwa na shetani

Next, Nenda kazini usiwe mtoro, concebtrate na masomo yako umalize na passmark nzuri


Assume its like other challenge and you WIN, Keep your head high and be strong
 
Najua unanitania 😂😂😂😂 pale UDSM kwani huwa unaenda kutembea😂😂😂😂 hivi umebakisha mdaa gani kumaliza mama tamuuu ili tuanze mipango ya maisha na ndoa kwa ujumla😂😂😂😂
Kwani mashoga nao wanaolewa au kuzaa siku hizi? Na vile anus haina fluid secreting glands za kutoa ute ute wa kulainisha, basi sina shaka huyo cocastic alishaungua kitambo sn.
 
Acha zengwe kaka! Clepatina uliniharibia na huku tena unaharibu pia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niachie mama tamuuu huyo ni wangu tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwangu hawezi kuharibuuu, nakupendaaa mchaga wanguu, afu wale mbwa watoto nimewamic kuwaona tenaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani mashoga nao wanaolewa au kuzaa siku hizi? Na vile anus haina fluid secreting glands za kutoa ute ute wa kulainisha, basi sina shaka huyo cocastic alishaungua kitambo sn.
Ngoja anakuja kukupa majibu cocastic mama tamuuu uje huku!😂😂😂😂
 
Kwani mashoga nao wanaolewa au kuzaa siku hizi? Na vile anus haina fluid secreting glands za kutoa ute ute wa kulainisha, basi sina shaka huyo cocastic alishaungua kitambo sn.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utaungua wee kwani, mie utaniachaaa, km wee unalo hilo dubwana pambana nalo huko uliko litoaa poleee sanaaa.
 
US AID imeongezewa bajeti kwa afrika na Tanzania nazan huna haja ya kuwaza sana dawa za HIV zipo za kutosha na vituo vya afya ndo km ivyo vpo kibao kla kata kla wilaya kla mkoa dawa unachukulia popote

Afu pia ayo ndo madhara ya kutumia nafasi zenu vby unapesa unakazi nzuri ila bado unafanya mapenzi ya kizembe

Tumia kinga utakufa mapema ushindwe kuenjoy mafanikio yako uliyoyapigania miaka na miaka
 
Muite baba laana maana kageuza anus kuwa sehemu ya kupata sexual satisfaction badala ya kutumia penis yake
Sasa mbna unaumia wee? Mapenzi yetuu yana kutesa sanaa?? Relaaaaaaaxxxxx

Tumependanaa wenyeweee, vidudu mtuu hamna nafasiiii poleeeeee

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom