TRUE STORY: Nimekoswakoswa Kuibiwa na msichana wa JF

TRUE STORY: Nimekoswakoswa Kuibiwa na msichana wa JF

Mbona wanawake wa jf ni waungwana sana? Wengi wao wanashughuli zao mbona? Nilikutana nao mimi ni watu wazuri sana tuuu
Anadhani anatuchafua lakini hajui anajichafulia! Ukitaka kusema ubaya wa mwenzako anza wako kwanza ili u balance story
 
Tatzo mkuu story yko umeiedit Sana,unapotuambia ulpga story ad ukalala tunakuwa atukuelew!!! Kwan makubaliano yenu yalikuaje..

Tuelezee kinaga ubaga ili tupate pa kuanzia..
 
Hivi we bwana utaacha lini kuwaandama wanawake? Bila shaka una psychological barrier dhidi ya wanawake, ukichomoza tu kwato zako JF basi ni vijembe, matusi, tuhuma na kejeli juu ya wanawake! Bila shaka makuzi yako toka utotoni yamehusisha kujeruhiwa na mwanamke, pole sana sio kosa lako!
 
kwa nini hukumpa hela
Sikia Chagga, mtu unamkirimu kwako, baadae unampa hela kwa ajili ya shukrani ya kampani yake, ndiyo tulivyozoea na ndiyo utamaduni wetu. Nasena utamaduni kwasbb haiuluzwi pesa unayotoa ni kwa sababu gani,ingawa kimantiki hakuna sababu.
Sasa hapa jamaa anamuongelea makwapukwapu. Wewe unaweza ukwakwapuliwa kisha ukatoa zawadi kwa mkwapuaji.
Miss Chagga napenga sana comment zako za mapenzi, mbn leo zimeshuka kiwango? Nn kimekusibu, ulikuwa na haraka gani ama haukusoma ukaelewa?
 
l wish l could believe you Stunter,mgeni wako aje,moige story mpaka mwenyeji usinzie,na lengo la kukutana ilikuwa ni nini?sio kugegedana?kama sio kugegedana ilikuwa nn aje mpaka usinzie?
Swali zuri, mleta mada ajibu.
 
Siku moja nimepanga kukutana na dem mmoja
humu JF ni maarufu sana jina namuweka
kapuni,
Nimemwambia njoo nyumbani akaja vizuri tu.
Tumepiga story wee mi mpaka nikapitiwa na usingizi lakini nilikuwa nimelala jicho moja,
demu akaanza
kunipiga sachi mi namuangalia tu naona anaanza
kubeba laptop yangu na waleti niliamka nikamdaka
shingo nilimpiga nusu nimuuwe makofi yakutosha,
ashukuru Mungu wasamaria wema walikuja
kumuoka alikuwa analia kama fisi pori.
[HASHTAG]#jamani[/HASHTAG] humu Jamiiforums Musimuamini Kila mtu
Mwnyw apa nshawai kutapeliwa elfu 50
 
Siku moja nimepanga kukutana na dem mmoja
humu JF ni maarufu sana jina namuweka
kapuni,
Nimemwambia njoo nyumbani akaja vizuri tu.
Tumepiga story wee mi mpaka nikapitiwa na usingizi lakini nilikuwa nimelala jicho moja,
demu akaanza
kunipiga sachi mi namuangalia tu naona anaanza
kubeba laptop yangu na waleti niliamka nikamdaka
shingo nilimpiga nusu nimuuwe makofi yakutosha,
ashukuru Mungu wasamaria wema walikuja
kumuoka alikuwa analia kama fisi pori.
[HASHTAG]#jamani[/HASHTAG] humu Jamiiforums Musimuamini Kila mtu
Mwanamke wa dar huyo...
 
Sikia Chagga, mtu unamkirimu kwako, baadae unampa hela kwa ajili ya shukrani ya kampani yake, ndiyo tulivyozoea na ndiyo utamaduni wetu. Nasena utamaduni kwasbb haiuluzwi pesa unayotoa ni kwa sababu gani,ingawa kimantiki hakuna sababu.
Sasa hapa jamaa anamuongelea makwapukwapu. Wewe unaweza ukwakwapuliwa kisha ukatoa zawadi kwa mkwapuaji.
Miss Chagga napenga sana comment zako za mapenzi, mbn leo zimeshuka kiwango? Nn kimekusibu, ulikuwa na haraka gani ama haukusoma ukaelewa?
nimemuelewa sema huyu mleta mada anatabia ya kutuponda sana wanawake .. nikaona acha nimuattack
 
Back
Top Bottom