TRUE STORY: Nimekoswakoswa Kuibiwa na msichana wa JF

Mbona wanawake wa jf ni waungwana sana? Wengi wao wanashughuli zao mbona? Nilikutana nao mimi ni watu wazuri sana tuuu
Anadhani anatuchafua lakini hajui anajichafulia! Ukitaka kusema ubaya wa mwenzako anza wako kwanza ili u balance story
 
Tatzo mkuu story yko umeiedit Sana,unapotuambia ulpga story ad ukalala tunakuwa atukuelew!!! Kwan makubaliano yenu yalikuaje..

Tuelezee kinaga ubaga ili tupate pa kuanzia..
 
Hivi we bwana utaacha lini kuwaandama wanawake? Bila shaka una psychological barrier dhidi ya wanawake, ukichomoza tu kwato zako JF basi ni vijembe, matusi, tuhuma na kejeli juu ya wanawake! Bila shaka makuzi yako toka utotoni yamehusisha kujeruhiwa na mwanamke, pole sana sio kosa lako!
 
kwa nini hukumpa hela
Sikia Chagga, mtu unamkirimu kwako, baadae unampa hela kwa ajili ya shukrani ya kampani yake, ndiyo tulivyozoea na ndiyo utamaduni wetu. Nasena utamaduni kwasbb haiuluzwi pesa unayotoa ni kwa sababu gani,ingawa kimantiki hakuna sababu.
Sasa hapa jamaa anamuongelea makwapukwapu. Wewe unaweza ukwakwapuliwa kisha ukatoa zawadi kwa mkwapuaji.
Miss Chagga napenga sana comment zako za mapenzi, mbn leo zimeshuka kiwango? Nn kimekusibu, ulikuwa na haraka gani ama haukusoma ukaelewa?
 
l wish l could believe you Stunter,mgeni wako aje,moige story mpaka mwenyeji usinzie,na lengo la kukutana ilikuwa ni nini?sio kugegedana?kama sio kugegedana ilikuwa nn aje mpaka usinzie?
Swali zuri, mleta mada ajibu.
 
Mwnyw apa nshawai kutapeliwa elfu 50
 
Mwanamke wa dar huyo...
 
Ha,ha,haaaa.....
STUNTER muongo,, nina wasiwasi ulikataliwa wewe ndo mana umeleta tuhuma hapa.BTW jje's anajua uliingiza dem kwa geto?
yaan siongei tena huyu hubby wangu cjui amekuwaje siku hizi. Ila sina namna cause nampenda nitavumilia tu
 
nimemuelewa sema huyu mleta mada anatabia ya kutuponda sana wanawake .. nikaona acha nimuattack
 
We noma kulala jicho moja,lingine linaona!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…