TRUE STORY: Nimekoswakoswa Kuibiwa na msichana wa JF

Faiza Foxy huyo hahaha chezea Faiza nini ww
 
l wish l could believe you Stunter,mgeni wako aje,moige story mpaka mwenyeji usinzie,na lengo la kukutana ilikuwa ni nini?sio kugegedana?kama sio kugegedana ilikuwa nn aje mpaka usinzie?
Unataka kujua lengo kuu la mimi nayeye Kukutana au Unataka kujua lengo Kuu la Mimi Kuanzisha Thread?
 
Unataka kujua lengo kuu la mimi nayeye Kukutana au Unataka kujua lengo Kuu la Mimi Kuanzisha Thread?
nahitaji kujua lengo la kumuacha mgeni we usinzie na amekuja kwako.
 
Penshen ilishaisha hivi sasa naanza kuuza mashamba... maisha haya lazima niwatafunie totoz wenu kabla sijaRIP
Usiokaa home ukacheza na wajukuu unahangaika na makurumbembe,
Utakufa kwa khanga shauri yako...
 
Yani amenikosakosa kuniibia alafu nimpe starehe? Au unahisi ukimgegeda atasikia maumivu?

Ahahahah pole sana mkuu, hako kastyle ka jicho moja itabd na mm niwe nakatumia
 
Usiokaa home ukacheza na wajukuu unahangaika na makurumbembe,
Utakufa kwa khanga shauri yako...
Nimeletwa duniani kuwazalisha wanawake... nzi kufia kidondani ni ujasiri
 
Jf imevamiwa na panya road.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sipati picha demu alivyokomaa mguu
 
Ahahahah pole sana mkuu, hako kastyle ka jicho moja itabd na mm niwe nakatumia
Bora tu iwe ivyo kuliko kujihami na majambazi alafu unakuja kuibiwa na kajidemu kalaini hata kuvunja biskuti hakawezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…