Faiza Foxy huyo hahaha chezea Faiza nini wwSiku moja nimepanga kukutana na dem mmoja
humu JF ni maarufu sana jina namuweka
kapuni,
Nimemwambia njoo nyumbani akaja vizuri tu.
Tumepiga story wee mi mpaka nikapitiwa na usingizi lakini nilikuwa nimelala jicho moja,
demu akaanza
kunipiga sachi mi namuangalia tu naona anaanza
kubeba laptop yangu na waleti niliamka nikamdaka
shingo nilimpiga nusu nimuuwe makofi yakutosha,
ashukuru Mungu wasamaria wema walikuja
kumuoka alikuwa analia kama fisi pori.
[HASHTAG]#jamani[/HASHTAG] humu Jamiiforums Musimuamini Kila mtu
Penshen ilishaisha hivi sasa naanza kuuza mashamba... maisha haya lazima niwatafunie totoz wenu kabla sijaRIPMzee nenda kafatilie pensheni yako, humu tuachie vijana
Unataka kujua lengo kuu la mimi nayeye Kukutana au Unataka kujua lengo Kuu la Mimi Kuanzisha Thread?l wish l could believe you Stunter,mgeni wako aje,moige story mpaka mwenyeji usinzie,na lengo la kukutana ilikuwa ni nini?sio kugegedana?kama sio kugegedana ilikuwa nn aje mpaka usinzie?
nahitaji kujua lengo la kumuacha mgeni we usinzie na amekuja kwako.Unataka kujua lengo kuu la mimi nayeye Kukutana au Unataka kujua lengo Kuu la Mimi Kuanzisha Thread?
Naomba tuonane tafadhalimm ndio mana sitaki kabisa kuonana na wanaume wa humu unajiepushia mengi sana kama hivyo kuja kudharirika bure angetulia zake yasingemkuta
Yani amenikosakosa kuniibia alafu nimpe starehe? Au unahisi ukimgegeda atasikia maumivu?
Nimeletwa duniani kuwazalisha wanawake... nzi kufia kidondani ni ujasiriUsiokaa home ukacheza na wajukuu unahangaika na makurumbembe,
Utakufa kwa khanga shauri yako...
Jf imevamiwa na panya road.Siku moja nimepanga kukutana na dem mmoja
humu JF ni maarufu sana jina namuweka
kapuni,
Nimemwambia njoo nyumbani akaja vizuri tu.
Tumepiga story wee mi mpaka nikapitiwa na usingizi lakini nilikuwa nimelala jicho moja,
demu akaanza
kunipiga sachi mi namuangalia tu naona anaanza
kubeba laptop yangu na waleti niliamka nikamdaka
shingo nilimpiga nusu nimuuwe makofi yakutosha,
ashukuru Mungu wasamaria wema walikuja
kumuoka alikuwa analia kama fisi pori.
[HASHTAG]#jamani[/HASHTAG] humu Jamiiforums Musimuamini Kila mtu