TRUE STORY: Nimekoswakoswa Kuibiwa na msichana wa JF

TRUE STORY: Nimekoswakoswa Kuibiwa na msichana wa JF

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Siku moja nimepanga kukutana na dem mmoja
humu JF ni maarufu sana jina namuweka
kapuni,
Nimemwambia njoo nyumbani akaja vizuri tu.
Tumepiga story wee mi mpaka nikapitiwa na usingizi lakini nilikuwa nimelala jicho moja,
demu akaanza
kunipiga sachi mi namuangalia tu naona anaanza
kubeba laptop yangu na waleti niliamka nikamdaka
shingo nilimpiga nusu nimuuwe makofi yakutosha,
ashukuru Mungu wasamaria wema walikuja
kumuoka alikuwa analia kama fisi pori.
[HASHTAG]#jamani[/HASHTAG] humu Jamiiforums Musimuamini Kila mtu
 
Okk nadhani kwa ueneaji huu wa samrt phone jf pia kuna watu wa kila namna ambao tunawaona mtaani tofauti tu ni kuwa humu wapo virtually. Kwa hivo ni kuwa makini kama ambavyo unakuwa makini na watu usiowajua unaokutana nao barabarani. Ila kumpiga ulikosea, ungefuata sheria tu.
 
Siku moja nimepanga kukutana na dem mmoja
humu JF ni maarufu sana jina namuweka
kapuni,
Nimemwambia njoo nyumbani akaja vizuri tu.
Tumepiga story wee mi mpaka nikapitiwa na usingizi lakini nilikuwa nimelala jicho moja,
demu akaanza
kunipiga sachi mi namuangalia tu naona anaanza
kubeba laptop yangu na waleti niliamka nikamdaka
shingo nilimpiga nusu nimuuwe makofi yakutosha,
ashukuru Mungu wasamaria wema walikuja
kumuoka alikuwa analia kama fisi pori.
[HASHTAG]#jamani[/HASHTAG] humu Jamiiforums nomaa sana
Mkuu kwa maandiko yako haya nikajua bado unaishi na wazazi ukisubili majibu ya form four
 
Okk nadhani kwa ueneaji huu wa samrt phone jf pia kuna watu wa kila namna ambao tunawaona mtaani tofauti tu ni kuwa humu wapo virtually. Kwa hivo ni kuwa makini kama ambavyo unakuwa makini na watu usiowajua unaokutana nao barabarani. Ila kumpiga ulikosea, ungefuata sheria tu.
Unasema kumpiga nimekosea?
nyinyi ndo mnaolea wezi,
Unatakiwa uwahi kumuua nyoka maana ukichelewa atakuuwa wewe...
Mjini hapa
 
Back
Top Bottom