True story

True story

PAGAN

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
12,181
Reaction score
20,148
Muhindi 1 alisilimishwa na shekh akamwambia kila unapokula usisahau kupiga Bismillah la sivyo utakua unakula na shetani. Basi yule muhindi kuna kipindi alisahau kupiga Bismillah kwa miezi 2 ,basi shetani akamfuata shekh akamwambia mkumbushe muhindi kupiga Bismillah maana ataniuwa kwa pili pili!
 
Makubwa na shetani asipopenda pili pili!
 
Umecopy vituko show,enzi za marehemu Kinyambe
 
"True story" kwa maana gani?
 
Back
Top Bottom