fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,537
Maharamia wameshindwa kujizuwia mkuu!Washenzi sana hawa.
Walifurahia Sana kipindi china anapitia wakati mgum kwenye huu ugonjwa!
Wakasema ni frusa kwa makampuni Yao kutengeneza ajira!!
Mungu atuokowe tuone huu mchezo maana ni mtam!
Kama idadi ya wagonjwa kwetu inaongezeka taratibu hivyo basi tuna dalili za kutoboa!