Maharamia wameshindwa kujizuwia mkuu!Washenzi sana hawa.
Acha hilo majuzi alicheza rafu mbaya kuna mzigo wa masks na ventilators kutoka china kuenda Spain na France, kaongeza dau mara tatu×3 wa china badala ya pelekea wale wa awali akaoupeleka US, masikini Spain wakabakia kulalamika UN tu.........US hana 'permanent friend or enemy but permanent interest'Ila hizi mbinu za marekani ni za kibabe mno na zinaweza kusababisha vita.
Fikiria umeagiza mzigo wako, mzigo upo kwenye meli baharini, ghafla marekani wanauteka na kuutaifisha. Wewe utajisikiaje?
Yeye anatumia sheria ya marekani inayosema kila kinachozalishwa na kampuni ya marekani kinaweza kuchukuliwa popote duniani kwa matumizi ya ndani ya marekani.
Kisheria yupo sahihi kwa sababu anatumia sheria za nchi yake na kampuni zinazomilikiwa na marekani.
Wenyewe wanauhaba wa vifaa mpaka wanasaidiwa halafu waendelee ku export?Marekani wamehamia kwenye uharamia kuzuia bidhaa za tiba zisipelekwe hata Ulaya. Wakiiona meli imebeba vifaa wanaitaifisha na kuielekeza marekani.
Trump sijui anaitafutia nini nchi yake.
Hili suala hili.... Majuzi kati niliona taarifa kutoka vyombo vya magharibi inayosema kuvaa mask wa-Asia walikuwa sahihi.Mkubwa mchina ata tuuzia hana mambo ya uporaji aka Uharamia!
Huku wakidanganya watu akuna haja ya kuvaa mask Adi uuguwe!
Huku wao wakizipora kwa nguvu zote!
Huku wizara ikituambia Adi tuuguwe!!Hili suala hili.... Majuzi kati niliona taarifa kutoka vyombo vya magharibi inayosema kuvaa mask wa-Asia walikuwa sahihi.
Wamarekani wa Tandale watapinga.Leo wamepokea msaada kutoka china!
China tena!Huku wizara ikituambia Adi tuuguwe!!
Wakati mgonjwa was siku 10 bado ni mzima na Ana ambukiza!
Nadhani walipata muongozo kutoka WHO
maana zikinunuliwa Sana huko kwao zitapanda bei au watazikosa!!
Leo wamepokea msaada kutoka china!
China tena!Huku wizara ikituambia Adi tuuguwe!!
Wakati mgonjwa was siku 10 bado ni mzima na Ana ambukiza!
Nadhani walipata muongozo kutoka WHO
maana zikinunuliwa Sana huko kwao zitapanda bei au watazikosa!!
Leo wamepokea msaada kutoka china
Apo huwezi waona! Haswa yule kombora la taifa!Wamarekani wa Tandale watapinga.
Na wameshukuru kweli like never before!China tena!
factsHumanitarian crisis atakayoijenga itasababisha uhasama na chuki. Haya mambo ya sheria za ndani za marekani kutumika kimataifa ndicho chanzo cha migogoro isiyoisha. Mfano sheria za vikwazo zinatungwa marekani ila nchi nyingine mnalazimishwa kutii.
Hapo tatizo ni kubwa sana.
tafsiri Isio Rasmi Yahio Koment Ya Mdau Hapo Ni :-Onyo video itasababisha Shambulio Lamoyo Msongo Wamawazo Na Presha Kwawale wote wanao ichukia UCHINAChina tena!
View attachment 1409375
Umeamka usingizini. Off topic.Oxygen ni bidhaa muhimu kwa binadamu.
Dunia itizame upya ni wapi tumekosea ili kujisahihisha.
Kwa kuanzia ni vema Dunia ikajiridhisha na hewa chafu inayozalishwa viwandani na technologia zinazo athili upatikanaji wa hewa ya Oxygen ulimwenguni.
Inawezekana mojawapo ya upungufu wa hewa hiyo ni kuungua kwa misitu duniani,ukame na hewa za sumu zitokazo viwandani.
Sisi kama Taifa mojawapo ya Mataifa ya Ulimwengu ni wajibu wa kuchua hatua ikiwemo kampeni ya upandaji miti na utunzaji wa mazingira kwa vizazi vijavyo.