Trump aanza kudhibiti mamlaka ya Elon Musk

Trump aanza kudhibiti mamlaka ya Elon Musk

City Of Lies

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
4,925
Reaction score
6,137
Rais wa Marekani Donald Trump alifanya mkutano na Baraza lake la Mawaziri na kusema kwamba usemi wa mwisho juu ya sera ya wafanyakazi utatolewa na wakuu wa mashirika ya shirikisho, sio mkuu wa DOGE Elon Musk.
Vyombo vya habari vya Reuters, Politico na CNN vimeripoti ripoti hii, wakinukuu vyanzo vya kuaminika vya serikali.
Mkutano wa Trump na viongozi wa mashirika ya shirikisho ulichukua dakika 90 na haukuwajumuisha waandishi wa habari. Hata hivyo, vyombo vya habari vinaeneza habari vikiwanukuu viongozi walioshiriki mkutano huo..
Rais Trump amesema anaunga mkono kikamilifu juhudi za Elon Musk za kupunguza idadi ya wafanyakazi na matumizi katika serikali ya shirikisho. Lakini Trump alisema kuwa Idara ya ufanisi wa Serikali, inayoongozwa na Musk, inapaswa kuwa na jukumu la ushauri tu, Reuters imeripoti.
Elon Musk amesema hadharani kwamba anakubaliana na agizo la Trump. Kulingana na Politico, idara inayoongozwa na Musk ilikiri kuwa "ilifanya makosa kadhaa."
Chanzo: BBC Swahili
 
Rais wa Marekani Donald Trump alifanya mkutano na Baraza lake la Mawaziri na kusema kwamba usemi wa mwisho juu ya sera ya wafanyakazi utatolewa na wakuu wa mashirika ya shirikisho, sio mkuu wa DOGE Elon Musk.
Vyombo vya habari vya Reuters, Politico na CNN vimeripoti ripoti hii, wakinukuu vyanzo vya kuaminika vya serikali.
Mkutano wa Trump na viongozi wa mashirika ya shirikisho ulichukua dakika 90 na haukuwajumuisha waandishi wa habari. Hata hivyo, vyombo vya habari vinaeneza habari vikiwanukuu viongozi walioshiriki mkutano huo..
Rais Trump amesema anaunga mkono kikamilifu juhudi za Elon Musk za kupunguza idadi ya wafanyakazi na matumizi katika serikali ya shirikisho. Lakini Trump alisema kuwa Idara ya ufanisi wa Serikali, inayoongozwa na Musk, inapaswa kuwa na jukumu la ushauri tu, Reuters imeripoti.
Elon Musk amesema hadharani kwamba anakubaliana na agizo la Trump. Kulingana na Politico, idara inayoongozwa na Musk ilikiri kuwa "ilifanya makosa kadhaa."
Chanzo: BBC Swahili
T akumbuke Kwa mlozi hakwishi uchawi
 
Rais wa Marekani Donald Trump alifanya mkutano na Baraza lake la Mawaziri na kusema kwamba usemi wa mwisho juu ya sera ya wafanyakazi utatolewa na wakuu wa mashirika ya shirikisho, sio mkuu wa DOGE Elon Musk.
Vyombo vya habari vya Reuters, Politico na CNN vimeripoti ripoti hii, wakinukuu vyanzo vya kuaminika vya serikali.
Mkutano wa Trump na viongozi wa mashirika ya shirikisho ulichukua dakika 90 na haukuwajumuisha waandishi wa habari. Hata hivyo, vyombo vya habari vinaeneza habari vikiwanukuu viongozi walioshiriki mkutano huo..
Rais Trump amesema anaunga mkono kikamilifu juhudi za Elon Musk za kupunguza idadi ya wafanyakazi na matumizi katika serikali ya shirikisho. Lakini Trump alisema kuwa Idara ya ufanisi wa Serikali, inayoongozwa na Musk, inapaswa kuwa na jukumu la ushauri tu, Reuters imeripoti.
Elon Musk amesema hadharani kwamba anakubaliana na agizo la Trump. Kulingana na Politico, idara inayoongozwa na Musk ilikiri kuwa "ilifanya makosa kadhaa."
Chanzo: BBC Swahili
Wameanza kumkamata breki na mambo ya kubull watu kazini sio mazuri
 
Back
Top Bottom