Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Anataka wafanyakazi wajiajiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elon Musk ana cheo cha mshauri maalum wa serikali chini ya utawala wa Rais Donald Trump amepewa jukumu la kuongoza Idara ya Ufanisi wa Serikali (DOGE), ambayo inahusika na kupunguza matumizi ya serikali.Musk ana cheo Gani hapo white house?
Nilisema na narudia kusema kuwa, urafiki wao hautadumu mpaka mwisho wa muhura wa Trump.Rais wa Marekani Donald Trump alifanya mkutano na Baraza lake la Mawaziri na kusema kwamba usemi wa mwisho juu ya sera ya wafanyakazi utatolewa na wakuu wa mashirika ya shirikisho, sio mkuu wa DOGE Elon Musk.
Vyombo vya habari vya Reuters, Politico na CNN vimeripoti ripoti hii, wakinukuu vyanzo vya kuaminika vya serikali.
Mkutano wa Trump na viongozi wa mashirika ya shirikisho ulichukua dakika 90 na haukuwajumuisha waandishi wa habari. Hata hivyo, vyombo vya habari vinaeneza habari vikiwanukuu viongozi walioshiriki mkutano huo..
Rais Trump amesema anaunga mkono kikamilifu juhudi za Elon Musk za kupunguza idadi ya wafanyakazi na matumizi katika serikali ya shirikisho. Lakini Trump alisema kuwa Idara ya ufanisi wa Serikali, inayoongozwa na Musk, inapaswa kuwa na jukumu la ushauri tu, Reuters imeripoti.
Elon Musk amesema hadharani kwamba anakubaliana na agizo la Trump. Kulingana na Politico, idara inayoongozwa na Musk ilikiri kuwa "ilifanya makosa kadhaa."
Chanzo: BBC Swahili
Ngoja tuone muda utaongea.Nilisema na narudia kusema kuwa, urafiki wao hautadumu mpaka mwisho wa muhura wa Trump.
Elon Musk ni mjanja mjanja opportunist tu na pale anapoona hakuna maslahi binafsi basi ananuna na kuanzisha vita.
Dingi= Mzee wa Mawigi
Mnapewa dawa au pesa mkanunulie mavieteSisi waturejeshee tu dawa za kuongeza maisha za UKIMWI laa sivyo tunaenda kuadhirika sana.