The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Ndio maana mimi sio muumini wa hizi zinaitwa projections au utabiri kutoka kwa wataalamu au wachambuzi wa utabiri sijui analysts projects this, projects that. Mimi hua nasema hizi ni sawa na usoma nyota na upiga ramli.
Kwa mfano wanaoitwa wataalamu wa uchambuzi walitabiri Afrika tutakua na vifo 100,000 kwa mwezi April hadi May, cha ajabu hata vifo 10,000 hatujafikia.
Sasa wachambuzi walitabiri Mwezi May Marekani itapoteza ajira rasmi milioni 8 kutoka milioni 15 zilizopotea mwezi April sababu ya lockdown. Mwezi March ajira milion 5 zilipotea.
Toka covid-19 imeanza ukosefu wa ajira Marekani umeongezeka kwa 9.8% hadi 17.5% maana ulikua chini ya 10% toka Trump aingie madarakani. Watabiri wakasema kufikia May kutakua na ukosefu wa ajira wa 20% .
Ajabu ni kua Trump amewashinda wataalamu wa itabiri na usoma nyota, mwezi May ameongeza ajira 2.5M na zinategemea kuanza kuongezeka. Inawezekana kabisa kufikia October Trump akawa amerudisha ajira zote zilizopotea kipindi cha corona.
Trump mwenyewe husema kwa records hakuna rais anaemfikia katika historia ya Marekani isipokua Abraham Lincoln tu. Ukweli hili halina ubishi, records speak for themselves. Trump has done it all.
Baada ya corona Joe Biden alianza kupata mvuto na kumpita Trump kwa zile tabiri au ramli za mitandaoni ambazo hata hivyo hazijawahi kumbeba Trump toka anaanza kampeni 2016. Trump always beats the analysts, projections.
Trump hails jobs numbers and "equality," says it's a "great day" for Floyd Trump hails jobs numbers and "equality," says it's a "great day" for Floyd
U.S. labor market unexpectedly improves; recovery years away
Kwa mfano wanaoitwa wataalamu wa uchambuzi walitabiri Afrika tutakua na vifo 100,000 kwa mwezi April hadi May, cha ajabu hata vifo 10,000 hatujafikia.
Sasa wachambuzi walitabiri Mwezi May Marekani itapoteza ajira rasmi milioni 8 kutoka milioni 15 zilizopotea mwezi April sababu ya lockdown. Mwezi March ajira milion 5 zilipotea.
Toka covid-19 imeanza ukosefu wa ajira Marekani umeongezeka kwa 9.8% hadi 17.5% maana ulikua chini ya 10% toka Trump aingie madarakani. Watabiri wakasema kufikia May kutakua na ukosefu wa ajira wa 20% .
Ajabu ni kua Trump amewashinda wataalamu wa itabiri na usoma nyota, mwezi May ameongeza ajira 2.5M na zinategemea kuanza kuongezeka. Inawezekana kabisa kufikia October Trump akawa amerudisha ajira zote zilizopotea kipindi cha corona.
Trump mwenyewe husema kwa records hakuna rais anaemfikia katika historia ya Marekani isipokua Abraham Lincoln tu. Ukweli hili halina ubishi, records speak for themselves. Trump has done it all.
Baada ya corona Joe Biden alianza kupata mvuto na kumpita Trump kwa zile tabiri au ramli za mitandaoni ambazo hata hivyo hazijawahi kumbeba Trump toka anaanza kampeni 2016. Trump always beats the analysts, projections.
Trump hails jobs numbers and "equality," says it's a "great day" for Floyd Trump hails jobs numbers and "equality," says it's a "great day" for Floyd
U.S. labor market unexpectedly improves; recovery years away