Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Inaitwa...usiyemtaka kajaHapo wapo wengine wanapita juu kwa juu wakijisemea hiiiiiii ..iiii!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaitwa...usiyemtaka kajaHapo wapo wengine wanapita juu kwa juu wakijisemea hiiiiiii ..iiii!
Inaitwa...usiyetaka kaja
Upo sawa ndani ya kichwa chako tu. Naomba fuatilia hii migogoro yote kabla ya vita kuanza ndio utanielewa. Ni visa mirefu sana, itapendeza ukafanye tafiti then uje na a new caption, usisahau kunitag tu.Ukraine hawapigani 'vita vya kipumbavu,' Bali wanapigana vita vya haki ya kujilinda dhidi ya udhalimu wa Putin. Endapo kama Putin asingeanzisha uvamizi, naamini Ukraine wasingeweza kujibu mapigo ya kuanzisha vita inayoendelea hivi Sasa.
Aidha, endapo kama Hamas wasingevamia Israel na kuteka na kuua Watu kule eneo la Kibutz Belly mwezi Oktoba 2023, basi majeshi ya Israel yasingeweza kujibu mapigo kwa kuanzisha hii vita inayoendelea hivi Sasa huko Mashariki ya Kati.
He is the right president for America and much needed world leader.Trump is no longer a right president for the US.
Aisee huyo mzee keshakuwa pupet wa Russia.