Trump adaiwa kuwasiliana na Putin angalau mara 7 baada ya kutoka ikulu ya White House mwaka 2021

Upo sawa ndani ya kichwa chako tu. Naomba fuatilia hii migogoro yote kabla ya vita kuanza ndio utanielewa. Ni visa mirefu sana, itapendeza ukafanye tafiti then uje na a new caption, usisahau kunitag tu.
 
Aisee huyo mzee keshakuwa pupet wa Russia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…