Trump mchokozi sana Huyu mzee, yani inabidi uwe na jicho la tatu ili uelewe kamaanisha nini, China saizi hali ya uchumi imepungua sana baada ya trump kuwapandishia tarrifs wachina na kucheza nao kama paka wake kwenye kutumia software za google, anawacheka wameanza kuwa na hali mbaya kwa sasa na sio kama zamani