Trump akimwambia Paul Kagame out, Ni dhahiri nchi zetu si lolote kwa Kagame?

Trump akimwambia Paul Kagame out, Ni dhahiri nchi zetu si lolote kwa Kagame?

Tarifa iliyopo huko X (Twitani) ni kwamba, muda wowote PK ataanza kuchezea vikwazo na ama kufurushwa kabisa ikuluni na hawa walezi wa dunia hii

Swali ni kwamba, nchi za Africa haziwezi kabisa kuadabishana mpaka tuingiliwe na watu dunia ya mbaali huko?

Kama ndivyo, Je, Africa inaouwezo sasa, kuzuia wazungu wasitutawale tena?

Kama tu migogoro yetu mpaka iamliwe na wazungu, tunalipi sasa?

Nguvu ya AU iko wapi?
Japo anachofanya PK ni udhalimu mkubwa dhidi ya Waafrika wenzake, nikiri tu kwamba waNyarwanda watakuwa tayari kufa wote kabla hawajaruhusu Rais wao kung’olewa madarakani, ukweli ni huo..
 
Tarifa iliyopo huko X (Twitani) ni kwamba, muda wowote PK ataanza kuchezea vikwazo na ama kufurushwa kabisa ikuluni na hawa walezi wa dunia hii

Swali ni kwamba, nchi za Africa haziwezi kabisa kuadabishana mpaka tuingiliwe na watu dunia ya mbaali huko?

Kama ndivyo, Je, Africa inaouwezo sasa, kuzuia wazungu wasitutawale tena?

Kama tu migogoro yetu mpaka iamliwe na wazungu, tunalipi sasa?

Nguvu ya AU iko wapi?
Kagame atakuwa anajinyea hivi sasa, anajiuliza ataiba wapi hela ili aijenge Rwanda maana uwongo wake wote sasa ushajulikana na dunia inaanza kumtenga kidogo kidogo. Soon atakuwa somewhere in a zoo anakula na gorillas.
 
Tarifa iliyopo huko X (Twitani) ni kwamba, muda wowote PK ataanza kuchezea vikwazo na ama kufurushwa kabisa ikuluni na hawa walezi wa dunia hii

Swali ni kwamba, nchi za Africa haziwezi kabisa kuadabishana mpaka tuingiliwe na watu dunia ya mbaali huko?

Kama ndivyo, Je, Africa inaouwezo sasa, kuzuia wazungu wasitutawale tena?

Kama tu migogoro yetu mpaka iamliwe na wazungu, tunalipi sasa?

Nguvu ya AU iko wapi?
Time has come Kagame akamatwe tu apelekwe The Hague kushitakiwa, he has killed so many innocent people. It's his time now to go to God to answer his atrocities done to innocent people in eastern DR.
 
Muamar Gadafi aliambiwa na USA ajiuzulu akagoma nchi ikasambaratishwa. Charles Taylor wa Liberia aliambiwa ajiuzulu akajiuzulu nchi ikapona. Je Kagame atatii amri?
I honestly want him to refuse so fate will decide his life. We're tired of his ass.
 
Back
Top Bottom