zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Wataendelea kununua tu kwani nyie mkifa wao si wataendelea kuishi nani kakwambia wanajali?Na zile sbb 3 walizotoa kuwa baada ya mapitio wanaangalia sion nchi ambayo Ina fit in
SS tutaamua kuendelea kununua V8 au kuwahudumia wananchi
Sawa acha tuoneWataendelea kununua tu kwani nyie mkifa wao si wataendelea kuishi nani kakwambia wanajali?
Na wewe utakubari umeme unazalishwa Nchini kwako kwenye ardhi ya Nchi yako mfano wewe wa Tunduma unauziwa unit 1 kwa 400/= halafu mtu wa Zambia Lusaka anauziwa unit 1 kwa 150/= halafu unachekelea wanatubana kwenye kodiWatatubana kwenye kodi
Itafanya kazi na namiombea Mungu ifanye kaziIla hiyo executive order ya Trump imepelekwa Mahakamani,sidhani kama itafanya kazi.
Wataendelea kununua na kupeana na kuendelea kusema nyie km mnakufa kufeni tu sisi tutaendelea kuishi vimbeni pasukeni mkitaka kunyweni sumu mfe, ndio lugha zaoSawa acha tuone
Wakoloni weusi au wakoloni gani unaowazungumzia?Mimi natamani Wakoloni warudi kututawala!
Atakua anamasnisha weupeWakoloni weusi au wakoloni gani unaowazungumzia?
Itapendeza wote tuwajibike na tuteseke wote akili zitukae sawaSafi sana mwamba. south nao wakinukishe Kila mtu arudi kwao.
Kaona trip nyingi za viongozi wakubwa kwenye nchi za mbali, wakitumia madege makubwa huku yamebeba watu kibao.Trump anawajua viongozi wa Afrika kuliko hata sisi waafrika tunavyowajua viongozi wetu. Haya maamuzi anayoyachukua Trump ni kwa manufaa ya waafrika.
Weupe si ndio hao wamegoma kutoa msaada baada ya kuona wanatoa msaada ila wanapigwa na wakoloni wengine huku waliojichukulia makoloniAtakua anamasnisha weupe
Mboko ongeza stick kwenye meza ya TrumpKaona trip nyingi za viongozi wakubwa kwenye nchi za mbali, wakitumia madege makubwa huku yamebeba watu kibao.
Yaan nendeni mkafie hukoWEwe unahisi wanajali sana? Familia na ndugu zao wanatibiwa abroad, hapa watapiga piga domo wakiamua halafu kwisha mkajitegemee.
Pia rafiki yake Mwashambwa LucasNa bado Choice Variables anajiandaa kutoa post ya kumsifia mama soon
Ngoja tuone unalishwa au laa.Kwa nini wasijue? Wewe Huwa unalishwa na Trump?
Silishwi na yeyote kama Kuna chanzo za Watoto zilikuwa za Msaada au madawa ya wagonjwa wa malaria,kifua Kikuu na ukimwi Serikali itaanza kulipia.Ngoja tuone unalishwa au laa.
Silishwi na yeyote kama Kuna chanzo za Watoto zilikuwa za Msaada au madawa ya wagonjwa wa malaria,kifua Kikuu na ukimwi Serikali itaanza kulipia.Ngoja tuone unalishwa au laa.
Trump asifiwe kwa ubunifu uliotukuka, tunapewa misaada kisha mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam anasema tunatibiwa kwa dawa za mama! Wajinga wanampigia makofi! Humu wamejaa tele akina Lucas Mwashambwa.Mimi binafsi kwenye jambo lolote la kitaifa siweki udini au uchama.
Kiongozi akifanya vizuri nitampa pongezi zake lakini siwezi kugeuka kuwa mtumwa wa mtu. Never
Sitakuwa mtumwa wa mwanasiasa yeyote mpaka nitakufa.
Tulipiga kelele humu inakuwaje mtu unamsifia Rais huku mpaka vyoo vya shule vinajengwa kwa pesa za msaada ?
Bajeti yetu tunayosomewa na akina Mwigulu ni bajeti hewa, maana unapanga bajeti huku pesa huna. Ikitokea jambo la kutikisa Dunia bajeti inafail kwa 80%.
Tuna rasilimali nyingi hata kuzitaja naona uvivu lakini serikali ya CCM ambayo Watanzania wachache wamejitoa akili kuisifia kila asubuhi, mchana, jioni na usiku imeshindwa kuzitumia badala yake nchi inaishi kwa misaada.
Hii miezi 3 ya mapitio ya misaada ya Marekani ni pigo kubwa sana kwa wananchi mafukara maana ndio waathirika wakubwa.
Huenda hali ya maisha ya Watanzania ikabadilika zaidi na kuwa duni maana Trump ni kama amechomoa betri bila taarifa.
Akina Luca na rafiki zao kama ni wasomi wa nchi hii yafaa wakamatwe warudishwe kusoma chekechea kwa lazima.Trump asifiwe kwa ubunifu uliotukuka, tunapewa misaada kisha mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam anasema tunatibiwa kwa dawa za mama! Wajinga wanampigia makofi! Humu wamejaa tele akina Lucas Mwashambwa.