Trump ameshashindwa kusitisha vita ya Ukraine kama alivyoahidi

Trump ameshashindwa kusitisha vita ya Ukraine kama alivyoahidi

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Aliahidi ndani ya saa 24 za kua ofisini atasitisha vitaa ya Ukraine, ila mpaka sasa ni kama ameshaona moto ni mkali sana. Zaidi alivyoondoa misaada Ukraine ndio Russia itajipigia zaidi.

Huyu mzee kitu pekee anachoweza kukifanya ni kumridhisha Israel
 
Kwahiyo wewe ndo msemaji wa hiyo vita..?
 
sanalii kwa hiyo na wewe uliamini kwamba Trump anaweza kuimaliza vita ya Ukraine ndani ya masaa 24?

Duh….
 
Back
Top Bottom