Wanao nunua mabasi ambayo hayana tija umewasahau?Rais Trump amesema haoni sababu ya Serikali za Nchi za Afrika kuwa na Matumizi ya fedha Yasiyofaa Kwa sababu YEYE Sera yake ndani ya Marekani ni kupata Hesabu za kiukaguzi hadi Senti ya Mwisho.
Trump amesema yeye Kwa Sasa anashughulika na Mambo ya Marekani na wala sio taifa lingine lolote
Credit: Fox news
Ahsanteni sana na Chadema mzingatie kuweka Hesabu za kiukaguzi hadi Senti ya Mwisho ya ruzuku 🐼
Kwa nini Chadema badala ya ccm?Rais Trump amesema haoni sababu ya Serikali za Nchi za Africa kuwa na Matumizi ya fedha Yasiyofaa Kwa sababu YEYE Sera yake ndani ya Marekani ni kupata Hesabu za kiukaguzi hadi Senti ya Mwisho
Trump amesema yeye Kwa Sasa anashughulika na Mambo ya Marekani na wala siyo taifa lingine lolote
Credit: Fox news
Ahsanteni sana na Chadema mzingatie kuweka Hesabu za kiukaguzi hadi Senti ya Mwisho ya ruzuku 🐼
Sana.Kazi Ipo
Rais Trump amesema haoni sababu ya Serikali za Nchi za Africa kuwa na Matumizi ya fedha Yasiyofaa Kwa sababu YEYE Sera yake ndani ya Marekani ni kupata Hesabu za kiukaguzi hadi Senti ya Mwisho
Trump amesema yeye Kwa Sasa anashughulika na Mambo ya Marekani na wala siyo taifa lingine lolote
Credit: Fox news
Ahsanteni sana na Chadema mzingatie kuweka Hesabu za kiukaguzi hadi Senti ya Mwisho ya ruzuku 🐼
Tume za kuchunguza ufisadi zinaundwa nyuma ya mikamera majibu nyuma ya hizo tume nyuma ya paziaTaarifa ya CAG ya 2022-2023 na 2023-2024 inasemaje juu ya mashirika, tamisemi na serikali kwa ujumla. Baadae ndipo tuifikie hiyo Chadema.
Rais Trump amesema haoni sababu ya Serikali za Nchi za Africa kuwa na Matumizi ya fedha Yasiyofaa Kwa sababu YEYE Sera yake ndani ya Marekani ni kupata Hesabu za kiukaguzi hadi Senti ya Mwisho
Trump amesema yeye Kwa Sasa anashughulika na Mambo ya Marekani na wala siyo taifa lingine lolote
Credit: Fox news
Ahsanteni sana na Chadema mzingatie kuweka Hesabu za kiukaguzi hadi Senti ya Mwisho ya ruzuku 🐼