NGOSWE2
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 1,323
- 1,608
Wanao nunua mabasi ambayo hayana tija umewasahau?Rais Trump amesema haoni sababu ya Serikali za Nchi za Afrika kuwa na Matumizi ya fedha Yasiyofaa Kwa sababu YEYE Sera yake ndani ya Marekani ni kupata Hesabu za kiukaguzi hadi Senti ya Mwisho.
Trump amesema yeye Kwa Sasa anashughulika na Mambo ya Marekani na wala sio taifa lingine lolote
Credit: Fox news
Ahsanteni sana na Chadema mzingatie kuweka Hesabu za kiukaguzi hadi Senti ya Mwisho ya ruzuku 🐼