Trump amtaka Biden ajiuzulu kwa kuruhusu Taliban kuteka Afghanistan

Mimi ni kristo lakini kwa hili sifungamani na dini yoyote. Binafsi nimeufurahi sana ushindi wa Wataliban.

Ni fedheha kubwa sana nchi ya watu kushikiliwa na majeshi wa mababeru.
Sasa ukristo wako unahusiana nini na suala la trump kumtaka Biden ajiuzulu?
 
Wa Afghanistan wengi wanataka kuongozwa na Taliban.
Ndio maana wanachukua nchi bila upinzani wowote.
Waachieni Waafghanistan nchi yao chini ya Utawala wa Taliban.
 
Watu wanashindwa kuelewa. Hakuna muafghanistan anataka kuwa jeshini bila mmarekani.

Kilichofanyika mmarekani kaondoka wanajeshi wa afghanistan nao wamerudi makwao kwenda kunywa kahawa.

Taliban wamechukua nchi bila resistance yoyote. Hakuna jeshi Afghanistan, wenye jeshi lao wamemaumua kurudi Kwao.
 
Well done Biden., Taliban wana haki zote kuishi katika nchi yao kwa uhuru Taliban ni Waislam kama waislamu wengine ulimwenguni na wao wameenda mbali zaidi kwa kutaka kusimamisha dola ya kiislamu kama ilivyo sharia kwa muibu wa dini yetu.

Na kule Marekani/Makafiri na wao wana uhuru wao na sheriza zao za kitwaghuuti wala hawakeri na mtu kwenye nchi zao na ukiristo wao ndani ya nchi yao.

Napongeza sana Biden ni kiongozi shujaa.

Trump zama zake zimeisha, bado ana mambo ya kishamba kupeleka majeshi na kuzikalia nchi za kiislamu kimabavu ilhali wao wanaishi kwa amani ndani ya nchi yao na ukafiri wao. pale taliban marekani waliua waislamu kibao akiwemo osama bin-landen unafkiri nani atalipa damu zao?

Kwenda zake huko trump, period.,
 
Trump yupo sahihi, Biden ni kiongozi dhaifu sana na haelewi nini hasa Cha kufanya katika ofisi yake ya urais. Very incompetent!
What is your evidence? Makubaliano ya kuondoa majeshi Afghanistan yalifikiwa na Trump. Na ilitakiwa waondoke mapema zaidi kuliko alivyofanya Biden. Afghanistan was a double-edged sword. Damn if you withdrew and damn if you didn't.
 
nje na mada. . wewe ni KE au ME?
 
Mimi ni kristo lakini kwa hili sifungamani na dini yoyote. Binafsi nimeufurahi sana ushindi wa Wataliban.

Ni fedheha kubwa sana nchi ya watu kushikiliwa na majeshi wa mababeru.
Kwani ukristo unaingiaje kwenye siasa za mbali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…