Changamoto Hasi Huwaga Hazikosekani Popote Pale,,Lakini Wao Zile Faida Chanya Ndio Huwaga wanazipa Zaidi Kipaumbele Kwa Faida Ya Taifa LaoAsante kwa majibu. Ila kuna wakati huwa naona siasa zao zinaathiri negatively hicho ulichokisema. Kwa mfano Musk alikuwa ana hofu kwamba wakirudi Demo madarakani wataathiri biashara zake ikiwemo kumuwekea vikwazo vya hapa na pale ili kumdhibiti. Ndio maana akachagua kumpa trump support ya π―π―
Eeh kumbe uchawa hata USA unalipa nyie..
duh..chawa unamjua?niletee chawa ambaye anaweza kutoa Dola milioni Moja Kila siku kwa siku zote za kampeni ya Trump
Umeambiwa itapitishwa na Congress kabla ya kuanzishwa na kuanza rasmi shughuli.Kumbe nao Rais anaweza jianzishia chochote kama huku kwetu ππ
Waliosema Cheo Cha Naibu Waziri Mkuu hakipo waje watueleze hii idara ya Musk na Trump ipo Kwa kifungu gani na sheria ipi?
It's not about money but Power, ni Africa tu ndio watu wanaingia kwenye siasa sababu ya fedha huko kwa wenzetu wanataka POWER...Hapa ndio najiuliza atalipwa bei gani ? Au hio kazi anajitolea tuh
Kama haujazaliwa marekani hauwezi kuwa raisi wa marekani. Elon kazaliwa afrika.Elon musk anatengenezewa njia ya kuja kugombea urais ,...hata mlio soma Cuba hamjaona hili?
Elon ni raia wa marekani. Labda ungesema sio mzawa wa marekani tungekuelewa.Elon sio raia wa Marekani , wanawezaje kumpa kazi kwenye federal gvt ?
Halafu walioko kwenye ajira ndo wanatuambia tujiajiri ila wao hawataki kutoka kwenye ajira na wakiondolewa wanapambana
Ni mzaliwa wa South Africa, Pretoria Transvaal. Uraia wa Marekani aliupata mwaka 2002.Elon ni raia wa marekani. Labda ungesema sio mzawa wa marekani tungekuelewa.
Dah,!.... Mwenyenacho kapewa kingine..Rais mteule wa US Donald Trump amemteua Elon Musk kuongoza Idara mpya ya Ufanisi wa Serikali (Doge) kwaajili ya utawala wake ujao.
Alitangaza kwamba Vivek Ramaswamy, mwekezaji wa kibayoteki, atafanya kazi na mwanzilishi wa Tesla kwenye mradi wa "kuondoa" urasimu Serikalini View attachment 3150872
US President-elect Donald Trump has picked Elon Musk to lead a newly created Department of Government Efficiency (Doge) for his incoming administration.
He announced that Vivek Ramaswamy, a biotech investor, will work with the SpaceX and Tesla founder on the project to βdismantleβ bureaucracy.
The pair will provide external advice and work with the White House to βdrive large scale structural reformβ, said Trump.
Musk β a mega-donor to the Trump campaign β has been hotly tipped for a role in the incoming administration. Ramaswamy ran as a Republican candidate for president earlier this year, against Trump.
In Tuesday nightβs announcement, Trump said the initiative would help the administration "dismantle Government Bureaucracy, slash excess regulations, cut wasteful expenditures and restructure Federal Agencies".
It is not an official government department - such agencies have to be established through an act of Congress and typically employ tens of thousands of people. It is not clear how many staff the new advisory board will hire.
Trump said the Doge would work with the White House and Office of Management & Budget to tackle "massive waste and fraud".
The president-elect likened the initiative to the Manhattan Project, a top-secret World War Two programme to develop the first nuclear weapons.
He said the pair would complete their work no later than 4 July (American Independence Day) 2026.
"A smaller Government, with more efficiency and less bureaucracy, will be the perfect gift to America on the 250th Anniversary of The Declaration of Independence," Trump wrote.
In a press release from Trump's campaign, Musk said: βThis will send shockwaves through the system, and anyone involved in Government waste, which is a lot of people."
After the announcement, Musk posted on his social media platform, X: βThreat to democracy? Nope, threat to BUREAUCRACY!!!β
Ramaswamy reposted Trump's announcement on social media saying "we will not go gently". He also said he was withdrawing from consideration to fill incoming US Vice-President JD Vanceβs soon-to-be-vacated Ohio Senate seat.
Last year, while running for president, Ramaswamy said he would fire more than 75% of the federal work force and close down several major agencies, including the Department of Education, the FBI and the Bureau of Alcohol, Tobacco, Firearms and Explosives.
The name of the new advisory board appears to be a reference to a cryptocurrency, Dogecoin, which was originally founded as a parody but went on to become a popular cryptocurrency.
Na huu ni u anabiiElon musk anatengenezewa njia ya kuja kugombea urais ,...hata mlio soma Cuba hamjaona hili?
Hiyo ni idara mpya, udhibiti wa urasimu serikalini? Haikuwepo kabla? Na sisi huku tunaihitaji biashara ziwe chap chap. Ukitaka jambo hamna urasimu.Kama mifumo ni imara Trump angejianzishia idara ya kumpa ulaji swahiba wake?
Idara ya kuondoa urasimu inaongozwa na watu wawili!πHiyo ni idara mpya, udhibiti wa urasimu serikalini? Haikuwepo kabla? Na sisi huku tunaihitaji biashara ziwe chap chap. Ukitaka jambo hamna urasimu.
Labda kuna maroboti. Tech imekua.Idara ya kuondoa urasimu inaongozwa na watu wawili!π
Nafikiri hiko ni kikundi tu cha machawa wa Trump cha nje ya serikali watakachokuwa wanafanya kazi kwa kujitolea, kwa sababu hao ni wafanyabiashara watapata fursa ya business deals na ruzuku pia.Umeambiwa itapitishwa na Congress kabla ya kuanzishwa na kuanza rasmi shughuli.
Tatizo la ChoiceVariable hajui Kingereza.Umeambiwa itapitishwa na Congress kabla ya kuanzishwa na kuanza rasmi shughuli.
Its seem una mis interpret. DOGE agency imeanzishwa ku imporve gov efficiecy how ever si cheo serikalini, watabaki kama washauri. Si decios makerInasemekana uteuzi wa Elon Musk ukitamkwa " Efficiency" Role unamfanya kuwa Mtu Maalum sana kwenye Serikali ya Rais Trump
Kwa Tanzania tunaweza kumlinganisha walau na Rostam Aziz aliyeahidiwa Ubunge Jimbo la Morogoro Mjini kimaalum Zaidi π
Credit: BBC