Trump amteua Elon Musk kusimamia Idara Mpya ya kuondoa Urasimu na Kuhakiki Utendaji wa Serikali

Trump amteua Elon Musk kusimamia Idara Mpya ya kuondoa Urasimu na Kuhakiki Utendaji wa Serikali

Rais mteule wa US Donald Trump amemteua Elon Musk kuongoza Idara mpya ya Ufanisi wa Serikali (Doge) kwaajili ya utawala wake ujao.

Alitangaza kwamba Vivek Ramaswamy, mwekezaji wa kibayoteki, atafanya kazi na mwanzilishi wa Tesla kwenye mradi wa "kuondoa" urasimu Serikalini View attachment 3150872
US President-elect Donald Trump has picked Elon Musk to lead a newly created Department of Government Efficiency (Doge) for his incoming administration.

He announced that Vivek Ramaswamy, a biotech investor, will work with the SpaceX and Tesla founder on the project to “dismantle” bureaucracy.

The pair will provide external advice and work with the White House to “drive large scale structural reform”, said Trump.

Musk – a mega-donor to the Trump campaign – has been hotly tipped for a role in the incoming administration. Ramaswamy ran as a Republican candidate for president earlier this year, against Trump.

In Tuesday night’s announcement, Trump said the initiative would help the administration "dismantle Government Bureaucracy, slash excess regulations, cut wasteful expenditures and restructure Federal Agencies".

It is not an official government department - such agencies have to be established through an act of Congress and typically employ tens of thousands of people. It is not clear how many staff the new advisory board will hire.

Trump said the Doge would work with the White House and Office of Management & Budget to tackle "massive waste and fraud".
The president-elect likened the initiative to the Manhattan Project, a top-secret World War Two programme to develop the first nuclear weapons.

He said the pair would complete their work no later than 4 July (American Independence Day) 2026.

"A smaller Government, with more efficiency and less bureaucracy, will be the perfect gift to America on the 250th Anniversary of The Declaration of Independence," Trump wrote.

In a press release from Trump's campaign, Musk said: “This will send shockwaves through the system, and anyone involved in Government waste, which is a lot of people."

After the announcement, Musk posted on his social media platform, X: “Threat to democracy? Nope, threat to BUREAUCRACY!!!”
Ramaswamy reposted Trump's announcement on social media saying "we will not go gently". He also said he was withdrawing from consideration to fill incoming US Vice-President JD Vance’s soon-to-be-vacated Ohio Senate seat.

Last year, while running for president, Ramaswamy said he would fire more than 75% of the federal work force and close down several major agencies, including the Department of Education, the FBI and the Bureau of Alcohol, Tobacco, Firearms and Explosives.
The name of the new advisory board appears to be a reference to a cryptocurrency, Dogecoin, which was originally founded as a parody but went on to become a popular cryptocurrency.
Jaman Elon Musk si tuliambiwa si mmarekani ni msauzi ni muhamiaji haramu alienda marekani kwa visa kusoma baadae kumbe lengo lake ni biashara? atapewaje cheo kikubwa hicho na huyu mpinga wahamiaji haramu?
 
Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, amethibitisha kwamba Elon Musk ataongoza idara mpya Ikulu ya Marekani.

Kulingana na ripoti, Musk atafanya kazi pamoja na mgombea wa zamani wa urais kupitia chama cha Republican, Vivek Ramaswamy, kuongoza Idara ya Ufanisi wa Serikali, maarufu kama DOGE.

Hatua hii inatekeleza ahadi ya Trump kwa Musk kufuatia kuungwa mkono kwake na mmiliki huyo wa Tesla na X wakati wa kampeni yake ya urais.

Trump amesema wawili hao watafungua njia kwa utawala wake kubomoa urasimu wa kiserikali, kupunguza kanuni zisizo za lazima, kupunguza matumizi yasiyo ya msingi, na kubadilisha muundo wa Mashirika ya Shirikisho - jambo muhimu katika "Harakati ya Kuokoa Marekani."

Trump alieleza kuwa wanasiasa wa Republican wamekuwa na ndoto ya kufikia malengo ya DOGE kwa muda mrefu.

Hisa za Tesla zapanda baada ya Trump kumpongeza Musk kama "kipaji" baada ya kushinda uchaguzi
Dola yapanda, bitcoin yafikia kiwango cha juu, hisa zinacheza baada ya ushindi wa Trump kuonekana
Mabilionea na Wakurugenzi Wakuu wamlaki Trump kwa furaha baada ya ushindi

"Ili kuendesha mabadiliko haya makubwa, Idara ya Ufanisi wa Serikali itatoa ushauri na mwongozo kutoka nje ya serikali, na kushirikiana na Ikulu na Ofisi ya Usimamizi na Bajeti kuendesha mageuzi makubwa ya kimuundo, na kuunda mbinu ya kibiashara ya serikali ambayo haijawahi kuonekana hapo awali," alisema Trump katika taarifa.

"Watafanya kazi pamoja ili kuikomboa Uchumi wetu, na kuufanya serikali ya Marekani kuwajibika kwa 'SISI WANANCHI.' Kazi yao itakamilika ifikapo Julai 4, 2026. Serikali ndogo, yenye ufanisi na bila urasimu mwingi, itakuwa zawadi bora kwa Marekani katika kumbukumbu ya Miaka 250 ya Azimio la Uhuru. Nina imani kwamba watafanikiwa," alisema Trump.

CHANZO: IOL
 
Mwenyewe kafurahi sana
Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, amethibitisha kwamba Elon Musk ataongoza idara mpya Ikulu ya Marekani.

Kulingana na ripoti, Musk atafanya kazi pamoja na mgombea wa zamani wa urais kupitia chama cha Republican, Vivek Ramaswamy, kuongoza Idara ya Ufanisi wa Serikali, maarufu kama DOGE...
 
Kwenye mada kama hizi huwezi kabisa kumuona yule mama mwenye itikadi ya kijinga ya kuabudu utamaduni wa kiarabu kwa sababu ya elimu ndogo ya dunia anakosa hoja ya kuzungumza.
 
Hapa ndio najiuliza atalipwa bei gani ? Au hio kazi anajitolea tuh
Watu wanatafuta ukurasa katika historia kwamba kuna alichokifanyia nchi yake sio nchi yake ilichomfanyia kama tunavyofanya huku kwetu.

Sisi huku watu wanamsifia mama ili wakumbukwe wapewe ajira na humohumo wapige dili kwa sababu njaa zimezidi.
 
Ni kweli Wakuu maua sama naskia ametoa albamu mpya..

Ila kiukweli katika nyimbo zote hii ya feelings nime ipenda sana...

Maua sama anajua wakuu
 
Kwenye mada kama hizi huwezi kabisa kumuona yule mama mwenye itikadi ya kijinga ya kuabudu utamaduni wa kiarabu kwa sababu ya elimu ndogo ya dunia anakosa hoja ya kuzungumza.
"Duuuh... ayseee" in Numbisa's voice 😳🤭

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Kifungu cha nini? si Google tu nayo hiyo kazi kubwa kweli.
You're right.👍👍
 
Back
Top Bottom