Tatizo lake anachamba uselessly. Hadi wamarekani wamemchoka kabisa.Trump Kama sio ana hasili ya uzaramo basi Mndengereko maana anachamba lakini Hana lolote."Tandurubeta nyambaf
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli!Wabongo wanaijua USA vema kuliko wanaUSA wenyewe
Wairan wanaiunga mkono serikali iliopo madarakani Kuliko US Wanavyoiaminisha DUNI US Wanajua na DUNIA Inaelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliokuwa wanaandamana ni wenyewe walikuwa wanadanganya Dunia![emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yale Maandamano Yanaendeleaje Pale TEHRAN[emoji2][emoji23][emoji6][emoji12][emoji12][emoji14][emoji14]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan Unahisi Kuna Kitu Kinapendwa Na Kila Mtu DUNIANI ?!Mkuu Ni kwamba haufahamu tunavoongea hapa saiz wairan wanafanya maandamano kuipinga serikali ya Ayatollah au ndo kuchangamsha wanajamvi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Si wote. Baadhi.Wabongo wanaijua USA vema kuliko wanaUSA wenyewe
"Wenyewe" Wairan.Waliokuwa wanaandamana ni wenyewe walikuwa wanadanganya Dunia!
Hawa jamaaa wahuni Sana!
Trump nilicheka sana kwenye mkutano wake mmoja ambapo jamaa alisema Allah Akbar yaani bora angesema God is Great
Trump naona alijinyea siku hiyo
Angalia YouTube ingawa jamaa alikuwa anasifia tu [emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using Tapatalk
Barua ya "Pentagoni".Huyo Trump alisema hakuna mmarekani kaumia wakati kunabarua ya Pentagoni inaonyesha waliumia vibaya ni 135 na 150 wako na maumivu tofauti yani maneno ya Iran ni kweli.
85 wamekufa na 200 wameumia na cnn imeisha onyesha kipigo walicho kipata mpaa wachunguzi wa habari wanasema kipigo hicho walicho pigwa na Iran na hakuna aliyeumia kweli?
Sa wamekuja na news eti 11 wameumia wako baadhi wamepelekwa Kuwait na wako wamepelekwa Germany. Si ajabu ukasikia wamekufa 11 π π π
Iran ni Moto na Trump hawezi kusogea tena pale.
Wanao muunga mkono bwana mkubwa Ayatollah!"Wenyewe" Wairan.
Tunazungumzia waandamanaji...Wanao muunga mkono bwana mkubwa Ayatollah!