Trump ana mkwe Mlebanon: Je, itamsaidia kupata kura za Waarabu-Wamarekani?

Trump ana mkwe Mlebanon: Je, itamsaidia kupata kura za Waarabu-Wamarekani?

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Uchaguzi unaoendelea huko Marekani umeonyesha kila aina ya rangi. Wakati wagombea wote wakichuana vikali, na huku ikionekana kuwa kura za waislamu na waarabu katika swing states kama vile michigan zinaweza kuamua nani awe mshindi wa kinyang'anyiro hicho.

Wagombea wote "rhetorically" wanaonekana hakuna hata mmoja aliyeahidi kubadili policy ya USA kuwa unconditional supporter wa Israel. Kamala Harris yeye amesema Biden anafanya kazi nzuri na hatabadili chochote cha Biden, wakati Trump yeye akisikika kumshauri Netanyahu kuwa anafanya kazi "nzuri" na amalizie kazi huko Gaza "Finish the Job".

Hata hivyo nyakati nyingine kauli za wanasiasa majukwaani wakati wa kuomba kura siyo ambazo viongozi hao huziweka ktk matendo wakishaapishwa, kwa mfano Trump alikuwa na slogan ya "lock her up", yaani kumtia ndani Hillary Clinton pindi akipata urais takriban miaka 8 iliyopita, lakini alivyopata urais hakumfunga. Trump pia alikuwa ananadi kujenga ukuta ktk mpaka na mexico lakini alivyoupata urais hakufanya hilo. Kwa hiyo hata hizi kauli za Trump za kujifanya anamchagiza Netanyahu "kufinish job" huko Gaza huenda ni maneno ya kutafuta kura za "Evangelicals" wa marekani na mahela ya Zionists.

Ila Trump anamuelewa vizuri Netanyahu kuwa ni mtu asiyetaka amani. Trump amewahi kunukuliwa akisema kuwa mwanzoni nilidhani Netanyahu ni mtu wa amani na kwamba wapalestina ndiyo wanaokwamisha jitihada za amani baadae nikagundua kuwa Netanyahu ndiye mkwamishaji mkuu wa amani.

Trump pia ana mkwe wa kiarabu. Binti yake aitwaye Tiffany kaolewa na Mlebanoni, Naamini kabisa hii itakuwa na influence ya maamuzi ya Trump kusapoti Israel kuwapiga wakwe zake au kuingilia kati na kuzuia. Labda ndiyo maana Israel sasa hivi imejiweka katika posture ya kutaka kuwind up operation ya Lebanoni fasta kabla Trump hajaapishwa.

Kwa wachambuzi wa kisiasa, ni dhahiri Trump akishaingia madarakani itakuwa ni vigumu sana kwa mazionists kumcontrol. Jamaa kashinda vita nyingi mno walizomuwekea kama vikwazo asivuke, walimuimpeach, wakafeli, wakamfungulia kesi, wakaangukia pua, wakajaribu kumuua wakafeli. Ukizingatia hii term ni term yake ya mwisho na hatoomba kura tena basi hana cha kuogopa pindi akishapata. Ndiyo maana huenda Trump akaja kugeuka shubiri kwa Mazayuni.
 
Trump hapendi vita,alimchana bolton kuchochea vita na juzi kamchana lizy Cheney kuwa mpenda vita,kawaambia wamarekani kama cheney anapenda vita apewe bunduki aende msitari wa mbele aone
 
Kwa wale msioelewa ni kwamba kura ya Marekani haiamuliwi kwa sera za nje bali wamarekani wanachojali zaidi ni maswala ya kiuchumi ya nchi yao.

Swala la Marekani kuiunga mkono Israel ni sera ya nchi wala sio sera ya mgombea yeyote wa urais hivyo leo hii hata Marekani ipate rais mwarabu muislam kitu cha kwanza atakachofanya ni kuiunga mkono Israel ndio mengine yatafuata na hilo si swala la mjadala ni kile kwa kilatini kinaitwa faite accompli.

Hao waarabu waliozamia Marekani hawana ujanja wapige kura wasipige hilo ni shauri yao lakini sera ya Marekani kwa Israel haina mjadala au wakipenda waende tu wakajiunge na magaidi wa Hamas na Hezbollah.
 
Uchaguzi unaoendelea huko Marekani umeonyesha kila aina ya rangi. Wakati wagombea wote wakichuana vikali, na huku ikionekana kuwa kura za waislamu na waarabu katika swing states kama vile michigan zinaweza kuamua nani awe mshindi wa kinyang'anyiro hicho.

Wagombea wote "rhetorically" wanaonekana hakuna hata mmoja aliyeahidi kubadili policy ya USA kuwa unconditional supporter wa Israel. Kamala Harris yeye amesema Biden anafanya kazi nzuri na hatabadili chochote cha Biden, wakati Trump yeye akisikika kumshauri Netanyahu kuwa anafanya kazi "nzuri" na amalizie kazi huko Gaza "Finish the Job".

Hata hivyo nyakati nyingine kauli za wanasiasa majukwaani wakati wa kuomba kura siyo ambazo viongozi hao huziweka ktk matendo wakishaapishwa, kwa mfano Trump alikuwa na slogan ya "lock her up", yaani kumtia ndani Hillary Clinton pindi akipata urais takriban miaka 8 iliyopita, lakini alivyopata urais hakumfunga. Trump pia alikuwa ananadi kujenga ukuta ktk mpaka na mexico lakini alivyoupata urais hakufanya hilo. Kwa hiyo hata hizi kauli za Trump za kujifanya anamchagiza Netanyahu "kufinish job" huko Gaza huenda ni maneno ya kutafuta kura za "Evangelicals" wa marekani na mahela ya Zionists.

Ila Trump anamuelewa vizuri Netanyahu kuwa ni mtu asiyetaka amani. Trump amewahi kunukuliwa akisema kuwa mwanzoni nilidhani Netanyahu ni mtu wa amani na kwamba wapalestina ndiyo wanaokwamisha jitihada za amani baadae nikagundua kuwa Netanyahu ndiye mkwamishaji mkuu wa amani.

Trump pia ana mkwe wa kiarabu. Binti yake aitwaye Tiffany kaolewa na Mlebanoni, Naamini kabisa hii itakuwa na influence ya maamuzi ya Trump kusapoti Israel kuwapiga wakwe zake au kuingilia kati na kuzuia. Labda ndiyo maana Israel sasa hivi imejiweka katika posture ya kutaka kuwind up operation ya Lebanoni fasta kabla Trump hajaapishwa.

Kwa wachambuzi wa kisiasa, ni dhahiri Trump akishaingia madarakani itakuwa ni vigumu sana kwa mazionists kumcontrol. Jamaa kashinda vita nyingi mno walizomuwekea kama vikwazo asivuke, walimuimpeach, wakafeli, wakamfungulia kesi, wakaangukia pua, wakajaribu kumuua wakafeli. Ukizingatia hii term ni term yake ya mwisho na hatoomba kura tena basi hana cha kuogopa pindi akishapata. Ndiyo maana huenda Trump akaja kugeuka shubiri kwa Mazayuni.
Huyo Mlebanon si kafiri tu kama yeye.
 
Kwa wale msioelewa ni kwamba kura ya Marekani haiamuliwi kwa sera za nje bali wamarekani wanachojali zaidi ni maswala ya kiuchumi ya nchi yao.

Swala la Marekani kuiunga mkono Israel ni sera ya nchi wala sio sera ya mgombea yeyote wa urais hivyo leo hii hata Marekani ipate rais mwarabu muislam kitu cha kwanza atakachofanya ni kuiunga mkono Israel ndio mengine yatafuata na hilo si swala la mjadala ni kile kwa kilatini kinaitwa faite accompli.

Hao waarabu waliozamia Marekani hawana ujanja wapige kura wasipige hilo ni shauri yao lakini sera ya Marekani kwa Israel haina mjadala au wakipenda waende tu wakajiunge na magaidi wa Hamas na Hezbollah.

Anything can happen based on the real political situation on the ground. Immigrants wengi waliohamia USA wanabadili landscape ya kisiasa. Kwa hivyo vyama lazima viwaaccomodate maslahi yao la sivyo vitaanza kupata tabu ya kisiasa
 
Uchaguzi unaoendelea huko Marekani umeonyesha kila aina ya rangi. Wakati wagombea wote wakichuana vikali, na huku ikionekana kuwa kura za waislamu na waarabu katika swing states kama vile michigan zinaweza kuamua nani awe mshindi wa kinyang'anyiro hicho.

Wagombea wote "rhetorically" wanaonekana hakuna hata mmoja aliyeahidi kubadili policy ya USA kuwa unconditional supporter wa Israel. Kamala Harris yeye amesema Biden anafanya kazi nzuri na hatabadili chochote cha Biden, wakati Trump yeye akisikika kumshauri Netanyahu kuwa anafanya kazi "nzuri" na amalizie kazi huko Gaza "Finish the Job".

Hata hivyo nyakati nyingine kauli za wanasiasa majukwaani wakati wa kuomba kura siyo ambazo viongozi hao huziweka ktk matendo wakishaapishwa, kwa mfano Trump alikuwa na slogan ya "lock her up", yaani kumtia ndani Hillary Clinton pindi akipata urais takriban miaka 8 iliyopita, lakini alivyopata urais hakumfunga. Trump pia alikuwa ananadi kujenga ukuta ktk mpaka na mexico lakini alivyoupata urais hakufanya hilo. Kwa hiyo hata hizi kauli za Trump za kujifanya anamchagiza Netanyahu "kufinish job" huko Gaza huenda ni maneno ya kutafuta kura za "Evangelicals" wa marekani na mahela ya Zionists.

Ila Trump anamuelewa vizuri Netanyahu kuwa ni mtu asiyetaka amani. Trump amewahi kunukuliwa akisema kuwa mwanzoni nilidhani Netanyahu ni mtu wa amani na kwamba wapalestina ndiyo wanaokwamisha jitihada za amani baadae nikagundua kuwa Netanyahu ndiye mkwamishaji mkuu wa amani.

Trump pia ana mkwe wa kiarabu. Binti yake aitwaye Tiffany kaolewa na Mlebanoni, Naamini kabisa hii itakuwa na influence ya maamuzi ya Trump kusapoti Israel kuwapiga wakwe zake au kuingilia kati na kuzuia. Labda ndiyo maana Israel sasa hivi imejiweka katika posture ya kutaka kuwind up operation ya Lebanoni fasta kabla Trump hajaapishwa.

Kwa wachambuzi wa kisiasa, ni dhahiri Trump akishaingia madarakani itakuwa ni vigumu sana kwa mazionists kumcontrol. Jamaa kashinda vita nyingi mno walizomuwekea kama vikwazo asivuke, walimuimpeach, wakafeli, wakamfungulia kesi, wakaangukia pua, wakajaribu kumuua wakafeli. Ukizingatia hii term ni term yake ya mwisho na hatoomba kura tena basi hana cha kuogopa pindi akishapata. Ndiyo maana huenda Trump akaja kugeuka shubiri kwa Mazayuni.
Huyo mkwe wake anaitwa nani??
 
Trump ndie Rais wa kwanza kuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel aviv mpaka Jerusalem
 

Attachments

  • IMG_5337.jpeg
    IMG_5337.jpeg
    931.6 KB · Views: 4
mwamba trump aingiee waarab makobaz wasafishwee chap!
 
Kwa wale msioelewa ni kwamba kura ya Marekani haiamuliwi kwa sera za nje bali wamarekani wanachojali zaidi ni maswala ya kiuchumi ya nchi yao.

Swala la Marekani kuiunga mkono Israel ni sera ya nchi wala sio sera ya mgombea yeyote wa urais hivyo leo hii hata Marekani ipate rais mwarabu muislam kitu cha kwanza atakachofanya ni kuiunga mkono Israel ndio mengine yatafuata na hilo si swala la mjadala ni kile kwa kilatini kinaitwa faite accompli.

Hao waarabu waliozamia Marekani hawana ujanja wapige kura wasipige hilo ni shauri yao lakini sera ya Marekani kwa Israel haina mjadala au wakipenda waende tu wakajiunge na magaidi wa Hamas na Hezbollah.

Anything can happen based on the real political situation on the ground. Immigrants wengi waliohamia USA wanabadili landscape ya kisiasa. Kwa hivyo vyama lazima viwaaccomodate maslahi yao la sivyo vitaanza kupata tabu ya kisiasa
 
Anything can happen based on the real political situation on the ground. Immigrants wengi waliohamia USA wanabadili landscape ya kisiasa. Kwa hivyo vyama lazima viwaaccomodate maslahi yao la sivyo vitaanza kupata tabu ya kisiasa
Hizo ni ndoto za masjid ubwabwa hakuna siku sera za Marekani zitabadilika kukidhi matakwa ya wazamiaji, ile nchi imejengwa kwa misingi fulani ambayo haiwezi kubadilishwa kwa hali yoyote ile nenda usome misingi hiyo ndo urudi humu.
 
Back
Top Bottom