Trump ana tabia zote za waswahili wa Buza

Anatusuta Pande Zote Za Ulimwengu,,,"Habagui Hachagui Eti Kasema Kwa Kuwa Atakae Mzika Yeye Hamjuii....!!!
Hakujawahi kuwa Rais wa Marekani mwenye maneno kama huyu 🤣
 
Ila prince harry sijui meghan alimpa tundu lile lililokatazwa maana kwa huyu mrembo kafanya upuuzi kibao. Siku akiachwa ndio atajua hajui, meghan tu hata kwa sura anaonekana mafia wa mahusiano
 
Anaogopa kugusa royal family kaona bora amsingizie Meghan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…