Hivi karibuni kumekuwa na majibishano makali kati Kyiv na Washington juu ya mpango wa kuleta Amani nchini Ukaraine,Rais wa Ukraine Mr Zelensk akiishutumu Washington juu ya kujihusisha katika mazungunzo na Urusi juu amani ya Ukraine pasipo kujumuishwa wao Ukraine amabao ni wathilika wakubwa
Kama hiyo haitoshi wakaingia katika mabishano mengine juu ya mkataba wa madini adimu yanayopatikana Ukaraine, Washington chini ya raisi Trump wanataka madini hayo yatumike kugharimia vita lkn Kiev ilikataa awali lkn baadaye inaonekana kukubali na hapa ndo nataka kuzungumzia
Jambo hili la kukubali kwa Kiev kutia Saini na marekani juu ya madini yake kunaiweka Ukarine miongoni mwa mataifa yenye Maslahi ya moja Kwa Moja ya Marekani
Sheria ya Marekani ya sasa itamruhusu raisi Tramp baada kukamilika kwa mkataba huo kuruhusu jeshi la nchi hiyo kuingia kupigana Moja Kwa Moja nchi Ukraine kulinda Maslahi ya Marekani
Sheria hii imewahitumika katika vita vya ghuba pale Iraq ilipoivamia Kuwait mnamo miaka ya 90s kwa sababu Narekani ilikuwa na maslahi ya Moja kwa Moja nchini humo katika swala la Mafuta
Sheria hiyo pia inaweza tumika nchini Uchina iwapo China itaivamia Taiwan maana Taiwan inamaslahi ya Moja kwa Moja ya Marekani katika swala teknolojia ya chip .Na swala la majeshi ya marekani kupelekwa taiwani lilithibitishwa na Rais wa marekani aliyepita Joe baiden
Hivyo Putini anatambua vilivyo Nia ya Marekani juu ya mkataba huu wa madini hebu tuone kitakachoendelea
Kama hiyo haitoshi wakaingia katika mabishano mengine juu ya mkataba wa madini adimu yanayopatikana Ukaraine, Washington chini ya raisi Trump wanataka madini hayo yatumike kugharimia vita lkn Kiev ilikataa awali lkn baadaye inaonekana kukubali na hapa ndo nataka kuzungumzia
Jambo hili la kukubali kwa Kiev kutia Saini na marekani juu ya madini yake kunaiweka Ukarine miongoni mwa mataifa yenye Maslahi ya moja Kwa Moja ya Marekani
Sheria ya Marekani ya sasa itamruhusu raisi Tramp baada kukamilika kwa mkataba huo kuruhusu jeshi la nchi hiyo kuingia kupigana Moja Kwa Moja nchi Ukraine kulinda Maslahi ya Marekani
Sheria hii imewahitumika katika vita vya ghuba pale Iraq ilipoivamia Kuwait mnamo miaka ya 90s kwa sababu Narekani ilikuwa na maslahi ya Moja kwa Moja nchini humo katika swala la Mafuta
Sheria hiyo pia inaweza tumika nchini Uchina iwapo China itaivamia Taiwan maana Taiwan inamaslahi ya Moja kwa Moja ya Marekani katika swala teknolojia ya chip .Na swala la majeshi ya marekani kupelekwa taiwani lilithibitishwa na Rais wa marekani aliyepita Joe baiden
Hivyo Putini anatambua vilivyo Nia ya Marekani juu ya mkataba huu wa madini hebu tuone kitakachoendelea