Trump anaandaa Mazingira ya kupeleka jeshi la Mapigano nchini Ukraine dhidi ya Urusi?

Trump anaandaa Mazingira ya kupeleka jeshi la Mapigano nchini Ukraine dhidi ya Urusi?

MBYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2020
Posts
366
Reaction score
521
Hivi karibuni kumekuwa na majibishano makali kati Kyiv na Washington juu ya mpango wa kuleta Amani nchini Ukaraine,Rais wa Ukraine Mr Zelensk akiishutumu Washington juu ya kujihusisha katika mazungunzo na Urusi juu amani ya Ukraine pasipo kujumuishwa wao Ukraine amabao ni wathilika wakubwa

Kama hiyo haitoshi wakaingia katika mabishano mengine juu ya mkataba wa madini adimu yanayopatikana Ukaraine, Washington chini ya raisi Trump wanataka madini hayo yatumike kugharimia vita lkn Kiev ilikataa awali lkn baadaye inaonekana kukubali na hapa ndo nataka kuzungumzia

Jambo hili la kukubali kwa Kiev kutia Saini na marekani juu ya madini yake kunaiweka Ukarine miongoni mwa mataifa yenye Maslahi ya moja Kwa Moja ya Marekani

Sheria ya Marekani ya sasa itamruhusu raisi Tramp baada kukamilika kwa mkataba huo kuruhusu jeshi la nchi hiyo kuingia kupigana Moja Kwa Moja nchi Ukraine kulinda Maslahi ya Marekani

Sheria hii imewahitumika katika vita vya ghuba pale Iraq ilipoivamia Kuwait mnamo miaka ya 90s kwa sababu Narekani ilikuwa na maslahi ya Moja kwa Moja nchini humo katika swala la Mafuta

Sheria hiyo pia inaweza tumika nchini Uchina iwapo China itaivamia Taiwan maana Taiwan inamaslahi ya Moja kwa Moja ya Marekani katika swala teknolojia ya chip .Na swala la majeshi ya marekani kupelekwa taiwani lilithibitishwa na Rais wa marekani aliyepita Joe baiden

Hivyo Putini anatambua vilivyo Nia ya Marekani juu ya mkataba huu wa madini hebu tuone kitakachoendelea
 
Let them teach each other a lesson. Sisi yetu macho kazi yetu ni kutazama na kuenjoy watu wanavyowindana kwenye mabarafu.

"A man called gonamwitu"
 
Hivi karibuni kumekuwa na majibishano makali kati Kyiv na Washington juu ya mpango wa kuleta Amani nchini Ukaraine,Rais wa Ukraine Mr Zelensk akiishutumu Washington juu ya kujihusisha katika mazungunzo na Urusi juu amani ya Ukraine pasipo kujumuishwa wao Ukraine amabao ni wathilika wakubwa

Kama hiyo haitoshi wakaingia katika mabishano mengine juu ya mkataba wa madini adimu yanayopatikana Ukaraine, Washington chini ya raisi Trump wanataka madini hayo yatumike kugharimia vita lkn Kiev ilikataa awali lkn baadaye inaonekana kukubali na hapa ndo nataka kuzungumzia

Jambo hili la kukubali kwa Kiev kutia Saini na marekani juu ya madini yake kunaiweka Ukarine miongoni mwa mataifa yenye Maslahi ya moja Kwa Moja ya Marekani

Sheria ya Marekani ya sasa itamruhusu raisi Tramp baada kukamilika kwa mkataba huo kuruhusu jeshi la nchi hiyo kuingia kupigana Moja Kwa Moja nchi Ukraine kulinda Maslahi ya Marekani

Sheria hii imewahitumika katika vita vya ghuba pale Iraq ilipoivamia Kuwait mnamo miaka ya 90s kwa sababu Narekani ilikuwa na maslahi ya Moja kwa Moja nchini humo katika swala la Mafuta

Sheria hiyo pia inaweza tumika nchini Uchina iwapo China itaivamia Taiwan maana Taiwan inamaslahi ya Moja kwa Moja ya Marekani katika swala teknolojia ya chip .Na swala la majeshi ya marekani kupelekwa taiwani lilithibitishwa na Rais wa marekani aliyepita Joe baiden

Hivyo Putini anatambua vilivyo Nia ya Marekani juu ya mkataba huu wa madini hebu tuone kitakachoendelea
Ujinga.
 
Kule alikuwa sahihi kama jeshi la nchi husika halina morale ya kupigana vita wewe mgeni utalazimisha?
Nani alilitoa Morali maana kwa miaka kadhaa Jeshi Hilo Hilo lilimzuia Tai kufika Damascus
 
Hivi karibuni kumekuwa na majibishano makali kati Kyiv na Washington juu ya mpango wa kuleta Amani nchini Ukaraine,Rais wa Ukraine Mr Zelensk akiishutumu Washington juu ya kujihusisha katika mazungunzo na Urusi juu amani ya Ukraine pasipo kujumuishwa wao Ukraine amabao ni wathilika wakubwa

Kama hiyo haitoshi wakaingia katika mabishano mengine juu ya mkataba wa madini adimu yanayopatikana Ukaraine, Washington chini ya raisi Trump wanataka madini hayo yatumike kugharimia vita lkn Kiev ilikataa awali lkn baadaye inaonekana kukubali na hapa ndo nataka kuzungumzia

Jambo hili la kukubali kwa Kiev kutia Saini na marekani juu ya madini yake kunaiweka Ukarine miongoni mwa mataifa yenye Maslahi ya moja Kwa Moja ya Marekani

Sheria ya Marekani ya sasa itamruhusu raisi Tramp baada kukamilika kwa mkataba huo kuruhusu jeshi la nchi hiyo kuingia kupigana Moja Kwa Moja nchi Ukraine kulinda Maslahi ya Marekani

Sheria hii imewahitumika katika vita vya ghuba pale Iraq ilipoivamia Kuwait mnamo miaka ya 90s kwa sababu Narekani ilikuwa na maslahi ya Moja kwa Moja nchini humo katika swala la Mafuta

Sheria hiyo pia inaweza tumika nchini Uchina iwapo China itaivamia Taiwan maana Taiwan inamaslahi ya Moja kwa Moja ya Marekani katika swala teknolojia ya chip .Na swala la majeshi ya marekani kupelekwa taiwani lilithibitishwa na Rais wa marekani aliyepita Joe baiden

Hivyo Putini anatambua vilivyo Nia ya Marekani juu ya mkataba huu wa madini hebu tuone kitakachoendelea
usiku wa kuamkia leo karibia drones 160 zimeshambulia ukraine, inaonekana urusi naye anayatamani hayo madini na angependa kama ukraine ingekuwa chini yake ili ayapate. technically, inawezekana pia mashambulizi yameongezwa ili ukraine imalizane na marekani kwani trump na putin sometimes huwa wanafanya madili mazuri tu, kamwambia piga hapo ili dogo amalizane na mimi afu vita itaisha. imeisha hiyo.
 
usiku wa kuamkia leo karibia drones 160 zimeshambulia ukraine, inaonekana urusi naye anayatamani hayo madini na angependa kama ukraine ingekuwa chini yake ili ayapate. technically, inawezekana pia mashambulizi yameongezwa ili ukraine imalizane na marekani kwani trump na putin sometimes huwa wanafanya madili mazuri tu, kamwambia piga hapo ili dogo amalizane na mimi afu vita itaisha. imeisha hiyo.
Inawezekana lkn Trump nimjanja si unajua alivyonfanya Urusi kule Syria
 
Watu wengine mnapoandika sijui mnavuta bange, vita vya ghuba alivyosaidiwa Iraq na Marekan havikuwa na changamoto kubwa khs usalama wa Marekan, lkn direct war kati ya Urusi na Marekan kwa kisingizio tu cha kupata Maadini yaliyokuwepo Ukraine hilo halitowezekana, sio kipindi kile cha Biden wala wkt huu wa Trump. Tuweni serious jamani
 
Jambo hili la kukubali kwa Kiev kutia Saini na marekani juu ya madini yake kunaiweka Ukarine miongoni mwa mataifa yenye Maslahi ya moja Kwa Moja ya Marekani
Kwa mtazamo wangu, huu mkataba unatumika kama fidia za kulipa gharama alizotumia Marekani kwenye huu mgogoro. halafu faida itatumika kwenye ujenzi kutokana na uharibifu wa huu mgogoro.

Ndiyo maana Ukraine analazimisha hakikisho la kiusalama liwepo kwenye huu mkataba kwani mpaka sasa haupo kwenye huo mkataba.

 
Ni kweli anasubiri lkn aliposubiri sana kule Syria Marekani akapita na wake mbele ya Dubu kweli Dunia tambala bovu
Kule syria Russia bado anamilitary base zake and no one dared to touch them, regime imebadilika ila kiuhalisia russia maslahi yake yako pale pale au wewe ulidhani utawala wa Bashar ndio maslahi ya russia hilo silo rafiki kumbuka tu regime change hii sio ya kwanza hata Hafiz alitoka ikaingia regime hii ya Bashar na wao bado ametunza base zao kule.
 
Ni kweli anasubiri lkn aliposubiri sana kule Syria Marekani akapita na wake mbele ya Dubu kweli Dunia tambala bovu
Kule syria Russia bado anamilitary base zake and no one dared to touch them, regime imebadilika ila kiuhalisia russia maslahi yake yako pale pale au wewe ulidhani utawala wa Bashar ndio maslahi ya russia hilo silo rafiki kumbuka tu regime change hii sio ya kwanza hata Hafiz alitoka ikaingia regime hii ya Bashar na wao bado ametunza base zao kule.
 
Watu wengine mnapoandika sijui mnavuta bange, vita vya ghuba alivyosaidiwa Iraq na Marekan havikuwa na changamoto kubwa khs usalama wa Marekan, lkn direct war kati ya Urusi na Marekan kwa kisingizio tu cha kupata Maadini yaliyokuwepo Ukraine hilo halitowezekana, sio kipindi kile cha Biden wala wkt huu wa Trump. Tuweni serious jamani
Kwenye hili game pale Ulaya Urusi anawaacha wanakaa vikao vyao weeeh, mwisho wakimaliza anaanzia pale walikoishia.

Ni jeshi lipi lipo tayari kwenda kukaa kwenye ardhi ya Ukraine likisimama dhidi ya Urusi kwa kisingizio chochote?
Urusi inaposema Ukraine isijiunge NATO sio kwamba Marekani na washirika wake wanashindwa kuiunga kwa nguvu bali shida inakuja wakishaiunga ikawa mwanachama wao itahitajika jeshi kwenda kumlinda mwanachama wao mpya.

Nato wanaweza kufanya jambo kama hili? Jibu ni haiwezekani hata kidogo sababu itakuwa ni tangazo la moja kwa moja la vita dhidi ya Urusi.
Hata sasa usione rais wa Ukraine alivyokubali haraka kumwachia Marekani rasilimali zake ukadhani ni mjinga, hapana. Anajua ili Marekani achume hizo rasilimali itampasa apeleke jeshi kitu ambacho kitakuwa ni kama ameungwa NATO.
Kinachoenda kutokea Marekani itasaini mkataba alafu ije kusaini mkataba mwingine na Urusi wa kuifanya Ukraine nchi isiyokuwa na jeshi bali usalama wa nchi ya Ukraine utakuwa mikononi mwa Urusi.

Kwa kifupi ili Marekani aweze kupata anachokitaka pale Ukraine ni lazima Ukraine isalimishwe chini ya miguu ya Urusi... Nje ya hapo basi vita vitaendelea hadi vipelekee vita vya dunia kwa sababu UKRAINE ni roho ya Urusi kama wenyewe wasemavyo. Haihitaji mjadala mkubwa maana kila kitu kipo wazi ndio maana hata rais mpya wa Marekani anayasema waziwazi.
 
Zelensky na NATO ni wajanja sana, hapo tayari imekula kwa Russia, lengo la Russia ni US asizidi kusogea mpakani kwake ndo maana akapinga sana Ukraine asijiunge NATO ili US asizidi kumzingila, Ukraine kuwa chini ya Ulinzi wa US kimkataba ni kumfanya Russia asithubutu kurusha hata jiwe Ukraine make akakuwa amechokoza walinzi😄😄😄, na hawa walinzi wana uhuru wa kuleta dhana zao zozote za ulinzi hapo kwenye lindo lao, hapo moja kwa moja NATO iko imezidi kujitanua hadi Ukraine, US ndo NATO.
 
Back
Top Bottom