Trump anaandaa Mazingira ya kupeleka jeshi la Mapigano nchini Ukraine dhidi ya Urusi?

Kama nakuelewa mkuu. Naona Sasa Eu and particularly France and Uk wanataka nao wapewe madini ya Ukraine. Trump ni Genius like Putin
 
Nani alilitoa Morali maana kwa miaka kadhaa Jeshi Hilo Hilo lilimzuia Tai kufika Damascus
Safari hii ya mwisho mpaka kutokea mapinduzi halikuwa na morale, uliona mwenyewe waasi walikuwa tu wanajichukulia miji mpaka wanafika Damascus. Hakukuwa na resistance ya maana
 
Kama nakuelewa mkuu. Naona Sasa Eu and particularly France and Uk wanataka nao wapewe madini ya Ukraine. Trump ni Genius like Putin
Ndio maana yake japo Trump anaona kama mgao utapungua.
Tuwe tu watazamaji sababu maamuzi ya mwisho yatatoka Kremlin... Magharibi wameambiwa kwenye maswala ya kijeshi wasahau kabisa pale Ukraine ila kwenye mambo ya kiuchumi ndipo wameambiwa watajua wao ila serikali mjini Kiev ni lazima iwe tiifu chini ya Urusi, na hiki ndicho kitamtosa zelensky sababu yeye anataka jeshi wakati bwanaake Marekani anajua kupeleka jeshi ni kama kwenda kudumbukia kwenye tanuru la moto na maslahi yake hayatatekelezeka.
Hivyo itatakiwa aondoke madarakani atafutwe mtu atakaekubali kuwa chini ya Urusi ndipo Marekani ichimbe madini huku ikiijenga Ukraine iliyosalimishwa Moscow
 
Tunakuwelewa wachache tunaofatilia mambo bila ushabiki.
Direct confrontation (war) kati ya urusi na marekani hatakuja kutokea. Hawa wakubwa wa dunia wanajuana uwezo wao
 
Umeeleza vizuri sana, umenipanua ufahamu
 
Mkuu sasa umenishawishi mazima kuamini unachosema
 
Safari hii ya mwisho mpaka kutokea mapinduzi halikuwa na morale, uliona mwenyewe waasi walikuwa tu wanajichukulia miji mpaka wanafika Damascus. Hakukuwa na resistance ya maana
Saw shida ya mrusi huwa anazubaa sana ndo maana Marekani aliisambaratisha soviet union (USSR) mpaka ikabaki vipande vipande
 
Food for war
 
Safari hii ya mwisho mpaka kutokea mapinduzi halikuwa na morale, uliona mwenyewe waasi walikuwa tu wanajichukulia miji mpaka wanafika Damascus. Hakukuwa na resistance ya maana
Hii ya Congo inataka kufanana na ya Syria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…