Trump amelaumu uongozi wa Obama na Biden kuruhusu watu kuja kufanya kazi ambazo zinahitaji ma-genious na hivyo kuruhusu hata watu wenye ulemavu wa akili kufanya kazi maalumu kwa ma-genious.
Trump ameyasema hayo alipokuwa anazungumza na waandishi wa habari kuhusu ajali hiyo.
Mambo yanaendelea kuwa magumu kwa wahamiaji Marekani katika kipindi hiki cha uongozi wa Trump. Tutaona mengi.
Source: BBC World
Trump ameyasema hayo alipokuwa anazungumza na waandishi wa habari kuhusu ajali hiyo.
Mambo yanaendelea kuwa magumu kwa wahamiaji Marekani katika kipindi hiki cha uongozi wa Trump. Tutaona mengi.
Source: BBC World