Wanalo huyo jamaa ni kichaahivyo kuruhusu hata watu wenye ulemavu wa akili kufanya kazi maalumu kwa ma-geniou
Mbona wamarekani wamemkubali nae kwasababu hiohio ya ulemavu wa akili zake🤣🤣watu wenye ulemavu wa akili kufanya kazi maalumu kwa ma-genious.
Tena wa advanced levelWanalo huyo jamaa ni kichaa
Weka source au bandiko ili tuthibitishe kabla ya kumbagaza. Maana sasa hivi DTrump anwekewa maneno mdomoni.Trump amelaumu uongozi wa Obama na Biden kuruhusu watu kuja kufanya kazi ambazo zinahitaji ma-genious na hivyo kuruhusu hata watu wenye ulemavu wa akili kufanya kazi maalumu kwa ma-genious.
Mambo yanaendelea kuwa magumu kwa wahamiaji Marekani katika kipindi hiki cha uongozi wa Trump. Tutaona mengi.
AgreedKwa heshima ya jukwaa hili modes msiruhusu mtu kuleta habari bila ya kuweka chanzo......
Hata Tanzania tumewahi kuwa na Rais kichaa.Wanalo huyo jamaa ni kichaa