Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 3253724View attachment 3253717
Mimi nakaona haka kajamaa ni kakuda sana. Kuna namna kanataka kafanye uboss huku kenyewe ndio kaliko na tabu.
Hakajui bila US hio nchi yake ingekuwa mkoa wa Urusi tayari
THEN UR VERY WRONG MKUU POLE KWA KUTOILEEA HISTORIAView attachment 3253724View attachment 3253717
Mimi nakaona haka kajamaa ni kakuda sana. Kuna namna kanataka kafanye uboss huku kenyewe ndio kaliko na tabu.
Hakajui bila US hio nchi yake ingekuwa mkoa wa Urusi tayari
Zelensky kaibika sana wanamshangaa kama kajinyea, Used CondomView attachment 3253724View attachment 3253717
Mimi nakaona haka kajamaa ni kakuda sana. Kuna namna kanataka kafanye uboss huku kenyewe ndio kaliko na tabu.
Hakajui bila US hio nchi yake ingekuwa mkoa wa Urusi tayari
View attachment 3253724View attachment 3253717
Mimi nakaona haka kajamaa ni kakuda sana. Kuna namna kanataka kafanye uboss huku kenyewe ndio kaliko na tabu.
Hakajui bila US hio nchi yake ingekuwa mkoa wa Urusi tayari
Alichofanya Zelensky ni sahihi kabisa.Zelensky kaibika sana wanamshangaa kama kajinyea
Na wewe unaamini huo ujinga wa Trump, pole sanaHii inaitwa: "things fall apart" au "the way the cookie crumbles."
"He disrespected the united state in it's cherished oval office."
Kwamba: "he's not ready peace, once he's ready he can come back."
Atawakumbuka wajomba zake, Kamala Harris na Joe Biden.
Na wewe unaamini huo ujinga wa Trump, pole sana
Zelensky hajashindwa vitaUkisha shindwa vita una option gani?
Alichoambiwa ndiyo ulio ukweli.
Huo ndiyo anapaswa kuujua Hammas na hata wewe ndugu Tshisekedi.
Ukishindwa vita hata kufanywa mtumwa ni halali. Nani alishashindwa vita na akatamalaki?
Na huo ndiyo ulio ukweli mchungu!
Humu JF kuna wanaume familua yake ikivamiwa na majambazi dume zima linajipeleka kwa jambazi huku watoto na mke wakiwa wamekaza.Bora kushindwa vita kuliko kusaini mkataba wa kishenzi,
Zelensky si kajamaa. Zelensky ni Mwanaume.
Trump asipotoa msaada doesn't matter Kwanza hatakua raisi milele atakuja mwingine atatoa msaada na hiyo isipotokea nchi nyingine zitawapa support, kwa Vyovyote at the end Zelensky anaonekana Shujaa mwenye msimamo .
Kamwe shida zisikufanye uchukuliwe kama pic of Sh*t .
Zelensky hajashindwa vita
Naunga mkono hoja.Bora kushindwa vita kuliko kusaini mkataba wa kishenzi,
Zelensky si kajamaa. Zelensky ni Mwanaume.
Trump asipotoa msaada doesn't matter Kwanza hatakua raisi milele atakuja mwingine atatoa msaada na hiyo isipotokea nchi nyingine zitawapa support, kwa Vyovyote at the end Zelensky anaonekana Shujaa mwenye msimamo .
Kamwe shida zisikufanye uchukuliwe kama pic of Sh*t .
Dogo hujui maana ya uzalendo. Wapalestina wanagombana na Israel wakijua kabisa hawawezi kushinda, uzalendo wa nchi yao wapo tayari kufa. Zele na Wa Ukraine ni hivyo hivyo.View attachment 3253724View attachment 3253717
Mimi nakaona haka kajamaa ni kakuda sana. Kuna namna kanataka kafanye uboss huku kenyewe ndio kaliko na tabu.
Hakajui bila US hio nchi yake ingekuwa mkoa wa Urusi tayari