Trump anataka apewe madini ili aihakikishie Ukraine ulinzi wa aina gani?

Trump anataka apewe madini ili aihakikishie Ukraine ulinzi wa aina gani?

1. Truump anamuona Zele kuwa ni mzembe cos angeweza kuzuia hii vita yake isitokee ila alikaza fuvu.

2. Trump anatambua na kuiheshimu Russia kama nchi zenye uwezo mkubwa wa kijeshi na anajua gharama za kumkabili kijeshi Urusi ni basi ni WW3 lakini ata hivyo anaamini kuwa Urusi ilichokozwa na hakuna ambae hakuwa anajua kama Russia itaipiga Ukraine.

3. Trump hawezi kutia msaada ya kijeshi tena wala wa kiinterejensia kwa Ukraine cos kilo kilichotoka mwanzo kipaswa kurudi Marekani.

4. Trump hataki kabisa masuala ya kumuhakikishia usalama Ukraine cos kufanya hivo itampasa Ukraine aingie NATO kitu ambacho kamwe hakiwezi kutokea otherwise lazima Marekani haingie vitani na Urusi na mshinde Mrusi.
Ikiwaivyo then vita kati ya US na Russia haikwepeki, kwasababu Putin akimalizana na Zelensk ataanza kuwa chokoza NATO na ndio hapo US atalazimika kuwasaidia direct washirikawake.

Trump na washirika wake wanatakiwa kumzuia Putin mapema kabla hajaichukuwa Ukraine yote vinginevyo madhara yatakuwa makubwa badae Putin akiwasogelea karibu.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Hizo hela bado zimetengeneza silaha ajira kwa usa ukrain amepokea kama 15% pekee 85 zimebaki usa huko kwenye viwanda
 
Yaani mpaka afike hatua hiyo asijue next move baada ya hapo, basi huo ukubwa USA watakua hawana.

Hapo bila shaka karatasi ziko mesani ni dogo Zele anasubiriwa akubali signs zianze kutembea.
 
Yaani mpaka afike hatua hiyo asijue next move baada ya hapo, basi huo ukubwa USA watakua hawana.

Hapo bila shaka karatasi ziko mesani ni dogo Zele anasubiriwa akubali signs zianze kutembea.
Hakika mkuu, US wanapewa ukuu ambao hawana, na ulemkutano umedhihirisha hilo, they don't look Smart at all.

Walitakiwa kujua mapema kwamba Zelensk hatasaini makaratasi kabla hawajaita viombo vya habari nakuanza kubishana kipumbavu.

Yani ulikuwa ni mkutano wa vichambo tu, kwamfano Zelensk anaomba kujibu hoja flani Trump anamuambia huruhusiwi kuongea nyamaza!.

Upuuzi mtupu

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Trump na washirika wake wanatakiwa kumzuia Putin mapema kabla hajaichukuwa Ukraine yote vinginevyo madhara yatakuwa makubwa badae Putin akiwasogelea karibu.
Hivi vitu vina historia yake.
Unajua nini kilisababisha USSR kufika Ujeruman Mashariki? Basi jibu ni tamaa za Adolf Hitler za kutaka kuisambalatisha Urusi mwaka 1941 alianza kuishambulia kutokea Poland na alipita kote akabakibisha KM chache tu kufika Moscow ndipo mambo yalibadilika USSR ikaanza kushusha mvua kumrudisha Adolf Hitler nyuma na breki ikawa Ujerumani Mashariki.

Najua Historia inafichwa ila ukweli Ujerumani alipigwa na USSR katika WW2 japo mabepari kumtaja Urusi katika vita hivyo imekuwa ngumu sana wanaona wataipa credity.

April 4, 1949 NATO iliundwa huko Washington DC, umoja wa wa kijeshi lakini lengo kuu lilikuwa kumkabili USSR maana mpaka hapa alikuwa tayari yuko Mashariki Ujeruman.

Mwaka 1990 USSR ilivunjika rasmi, ni nchi za Magharibi ndizo zilicheza hii kete na Ukraine alikuwa nchi ambayo ilitumiwa kwa kiasi kikubwa sana kuleta chokochoko mpaka umoja huu ukavunjika.

Baada ya kuvunjika kuna makubaliano yaliingiwa kati ya Marekani mwenye NATO na Urusi kuwa Urusi isijitanue kwenda tena Magharibi kuzifuata nchi za Ulaya na haijafanya hivo mpaka leo, na hii NATO isije kujitanua kwenda Mashariki kuifuta Urusi ila NATO imejitanua kwa kiasi kikubwa sana. (Unaweza kuona hofu ya makubaliano haya yalitoka na nini?)

Mwaka 2008 Bi Angela Merkel aliekuwa Chancellor wa Ujeruman alipinga wazo la Ukraine kuingizwa katika NATO pale lilipotelewa kwa mara ya kwanza na Rais Bush wa US. Markel alitoa alipinga sababu aliona washajutanua sana kuelekea Mashariki kuifuata Urusi mpaka Poland na hivo wakisema waingie Ukraine ambayo kwa % kubwa Urusi na Ukraine jamii zao zinashibana hapo watakuwa wamevuka mstari mwekundu na Urusi haitokubali ilo.
Screenshot_2025-03-02-13-11-11-91_9389f3a88ca4920af524a3288818261f.jpg

Tuje kwasasa.
Ndani ya Marekani kuna sheria ambazo zinaitaja URUSI kama adui yao No. 1

1. Unamuona nani anamfuata mwenzie?
2. Kwanini NATO inajiranua kuelekea Mashariki kuizunguka Urusi kama alivyotaka kufanya Adolf Hitler?
3. Kwanini unasema Marekani na wenzie waanze kumkabili Urusi na sio Urusi aanze kuikabili NATO ambae anaonekana anamfuata?
 
1. Truump anamuona Zele kuwa ni mzembe cos angeweza kuzuia hii vita yake isitokee ila alikaza fuvu.

2. Trump anatambua na kuiheshimu Russia kama nchi zenye uwezo mkubwa wa kijeshi na anajua gharama za kumkabili kijeshi Urusi ni basi ni WW3 lakini ata hivyo anaamini kuwa Urusi ilichokozwa na hakuna ambae hakuwa anajua kama Russia itaipiga Ukraine.

3. Trump hawezi kutia msaada ya kijeshi tena wala wa kiinterejensia kwa Ukraine cos kilo kilichotoka mwanzo kipaswa kurudi Marekani.

4. Trump hataki kabisa masuala ya kumuhakikishia usalama Ukraine cos kufanya hivo itampasa Ukraine aingie NATO kitu ambacho kamwe hakiwezi kutokea otherwise lazima Marekani haingie vitani na Urusi na mshinde Mrusi.
Na marekani miaka yote haujawahi kupeleka wanajeshi wake vitani..zaidi ya kuunga mkono tu....Ila putin na trump ni wenye kumaliza vita
 
Hakika mkuu, US wanapewa ukuu ambao hawana, na ulemkutano umedhihirisha hilo, they don't look Smart at all.

Walitakiwa kujua mapema kwamba Zelensk hatasaini makaratasi kabla hawajaita viombo vya habari nakuanza kubishana kipumbavu.

Yani ulikuwa ni mkutano wa vichambo tu, kwamfano Zelensk anaomba kujibu hoja flani Trump anamuambia huruhusiwi kuongea nyamaza!.

Upuuzi mtupu

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Hata watu wenye akili timamu ndani ya ya CIA itakuwa wanamlisha Trump matango pori kwa sera zake za ajabu.
 
Wewe jamaa naona hujui kabisa kinachoendelea hapo lakini utakuja kufahamu huko mbeleni na utabaki mdomo wazi kwani wewe huijui Marekani ila unahadithiwa tu.

Ngoja nikuache maanake wewe unaona Trump anakutana na Putin na kufikiri wanaongelea mambo ya siasa. Lala hapo.
 
Wewe jamaa naona hujui kabisa kinachoendelea hapo lakini utakuja kufahamu huko mbeleni na utabaki mdomo wazi kwani wewe huijui Marekani ila unahadithiwa tu.

Ngoja nikuache maanake wewe unaona Trump anakutana na Putin na kufikiri wanaongelea mambo ya siasa. Lala hapo.
Mkuu, ndio maana kuna JF mkuu ipo hapamkuu kama wewe unafahamu zaidi mambo yalivyo unatuelimishatu na sisi mkuu.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Wewe jamaa naona hujui kabisa kinachoendelea hapo lakini utakuja kufahamu huko mbeleni na utabaki mdomo wazi kwani wewe huijui Marekani ila unahadithiwa tu.

Ngoja nikuache maanake wewe unaona Trump anakutana na Putin na kufikiri wanaongelea mambo ya siasa. Lala hapo.
Mkuu, ndio maana kuna JF mkuu ipo hapamkuu kama wewe unafahamu zaidi mambo yalivyo unatuelimishatu na sisi mkuu.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
US wanataka kumkimbia Mrusi Ukraine kijanjatu.

Wakubali tu wamemshindwa Putin bas, nasio kutafuta visingizio vya kupewa madini ndio waweke ulinzi.

Tramp hata akipewa madini, atamzuia putin kuishambulia Ukraine kwanjia gani, kijeshi ama atawezeshe mazungumzo ya amani?.

Nakama alivyoulizwa na waandishi wa habari kwamba Putin akikataa huompangowake wa amani atamfanya nini.

Kama hajui atamfanya nini kwanini Zelensk asaini madini yachimbwe wakati hajui kama mpango wa amani utafanikiwa kiasigani na utahusisha vitugani.

Kwamfano Zelensk akikubali madini yachimbwe alafu kwenye mpango wa amani Putin akikataa kurudisha maeneo aliyoyateka wakati wavita itakuwaje, yani maanayake madini na kipande cha nchi vitakuwa vimekwenda.

Zelensk anauzalendo apewe mauwayake.

Bora afekishujaa kuliko kuburuzwa kama juha.

Tramp alishasema kwamba yeye tu ndio anaweza kuwafanya wasitishe mapigano maramoja kwasababu wanamuheshimu.

Sasa Zelensk amemdharau, amuite Putin ampe maelekezo tuone.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Huyo mcheza show, ata surrender tu kwa mwamba ni swala la muda tu.
 
Kabisa, Tramp anasema ameongea na Putin lakini hasemi waliongea nini.
Wamemuweka Zelensk live dunianzima inamuona, nainashuhudia majadiliano yote wakati Putin wameongea nae kwa siri.

Tramp angeweka hata record yamazungumzoyake pale ilitujue walikubaliananini.

Kwasababu hakuna mtu alieshuhudia majadiliano ya Tramp na Putin, nani anajua labda Putin amempa Tramp shariti la kuongea live na Zelensk iliajue wanaongea nini alafu ndio wafanye dili la kusimamisha vita.

Tramp na JD ni wahuni.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
taifa la marekani ni taifa la kihuni sana ,wanatumia hila kuiba utajiri wa mataifa mengine kiurahisi, wanaleta machafuko kwa mataifa mengine kwa kutumia vita na majanga kama mbalimbali alafu wanajidai ni watatuzi kwa kutoa silaha na madawa ili kuibadilishana na rasilimali za mataifa husika kiulaini .
 
Hakika mkuu, US wanapewa ukuu ambao hawana, na ulemkutano umedhihirisha hilo, they don't look Smart at all.

Walitakiwa kujua mapema kwamba Zelensk hatasaini makaratasi kabla hawajaita viombo vya habari nakuanza kubishana kipumbavu.

Yani ulikuwa ni mkutano wa vichambo tu, kwamfano Zelensk anaomba kujibu hoja flani Trump anamuambia huruhusiwi kuongea nyamaza!.

Upuuzi mtupu

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Ila ule sijui mdahalo sijui ni nini kile...

Trump pale alizingua labda kama kuna kitu alitarget ila ule mkutano wake alizingua bna, haukua professional kabisa aisee.

Wanatupiana maneno live live kama sio maraisi aisee.
 
Ukraine wamepewa misaada ya dola bilioni 350 kutoka kwenye kodi za wamarekani

Madini yana thamani ya dola bilioni 500, ukiondoa gharama za uwekezaji, mitambo, teknolojia, n.k. Marekani inaweza ambulia dola bilioni 400, shida iko wapi ?
Hapa ndo wengi wanaojiona wana akili sana wanaferi. Msaada, kawaida ni deni? Huyo Zelensky, si alisema alipokea tu Bilioni 100? kwa hiyo yeye si ndo anaenda kulipa walizokula watangulizi wa Trump? Sema tu haya maisha ni ya kisenge sana ukiwa mnyonge.

Hapo bora tu aelewane na jirani wayamalize, na kama ni kulipa deni, washauliane. Putin hawamuwezi hapo.
 
Hapa ndo wengi wanaojiona wana akili sana wanaferi. Msaada, kawaida ni deni? Huyo Zelensky, si alisema alipokea tu Bilioni 100? kwa hiyo yeye si ndo anaenda kulipa walizokula watangulizi wa Trump? Sema tu haya maisha ni ya kisenge sana ukiwa mnyonge.

Hapo bora tu aelewane na jirani wayamalize, na kama ni kulipa deni, washauliane. Putin hawamuwezi hapo.
Zelensky ataongea anachotaka hata akisema alipokea bilioni 1 ni maneno tu, vitabu vinaonyesha kodi za wamarekani dola milioni 350 ziimetumika kuisaidia Ukraine nae Zelensky alikuwa anasaini kapokea.

Ni limbukeni pekee ndie ataeamini anasaidiwa bure na Marekani,
 
Back
Top Bottom