Trump and Nancy: Look at them as if they are kids in high school

Trump and Nancy: Look at them as if they are kids in high school

Hata angekuwa Spika wa Bongo, rais hana mamlaka ya kumuondoa 1. VP, 2 Spika, 3, Jaji Mkuu, 4. CAG, 5. Mbunge

Kww vile ni Bunge la CCM dominated parliament, then kupitia CCM party Caucasus, wangeleta motion ya kipiga kura ya kutokuwa na imani na Spika, kwa wingi wao, hoja hiyo ingepita na Spika angeondolewa, ila kumfananisa Spika yule anayejua wajibu wa Bunge katika kuisimamia serikali na huyu Bunge letu linalijipendekeza? kwa serikali, (note alama ya kuuliza kwenye neno Kujipendekeza nisije nikaitwa tena Dodoma), ni watu wawili tofauti sawa na kufananisha mbingu na nchi!.
P
Mimi ni. Mgeni jamii forum Ila toka nianze kusoma hoja zako naona leo umeandika kama mtu anayejielewa, angalau maana unaandikaga vapour mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni. Mgeni jamii forum Ila toka nianze kusoma hoja zako naona leo umeandika kama mtu anayejielewa, angalau maana unaandikaga vapour mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu, kwa vile umesema wewe ni mgeni, ukizoea utanizoea na kama una kichwa fulani hivi utaweza kunielewa lakini kama na wewe vichwa vyenu ndio hivi hivi vya kufugia nywele tuu, utaendelea kuona vapours tuu.
P
 
Hata angekuwa Spika wa Bongo, rais hana mamlaka ya kumuondoa 1. VP, 2 Spika, 3, Jaji Mkuu, 4. CAG, 5. Mbunge

Kww vile ni Bunge la CCM dominated parliament, then kupitia CCM party Caucasus, wangeleta motion ya kipiga kura ya kutokuwa na imani na Spika, kwa wingi wao, hoja hiyo ingepita na Spika angeondolewa, ila kumfananisa Spika yule anayejua wajibu wa Bunge katika kuisimamia serikali na huyu Bunge letu linalijipendekeza? kwa serikali, (note alama ya kuuliza kwenye neno Kujipendekeza nisije nikaitwa tena Dodoma), ni watu wawili tofauti sawa na kufananisha mbingu na nchi!.
P
Ndugu kajua kati ya vitu vinakukera sana hapa duniani ni pamoja na Bunge letu kufanya kazi kwa kujipendekeza kwa serikali, hiyo alama ya kujiuliza umeiungaunga mpaka sentensi yenyewe imepinda. Kwakweli Bunge letu la Tanzania linatia kinyaa ata kulisikia, kwa upande wangu ningekua Mbunge ningeachia ngazi kwa kujiuzulu nisingeweza kukaa kwenye huu upuzi unaoendeshwa na Job Ndugai asilani.
 
Back
Top Bottom