MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
Coronavirus: Sophie Gregoire Trudeau - mkewe waziri mkuu wa Canada akutwa na virusi
Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau na mke wake watabaki kwenye karantini kwa siku 14 , baada ya mkewe Sophie Gregoire Trudeau kukutwa na virusi vya corona.
Sophie Gregoire Trudeau ''anaendelea vizuri na dalili alizonazo si mbaya'' alisema mkurugenzi wa mawasiliano wa Waziri Mkuu.
Bwana Trudeau pia atakuwa kwenye karantini kama hatua ya tahadhari. Hatapimwa katika hatua za sasa kwa kuwa haoneshi dalili za maambukizi.
Katika ukurasa wa Twitter, Bi Sophie aliandika ''nitarejea nikiwa na afya njema hivi karibuni,''
Bi Trudeau amesema alikuwa amepata dalili ambazo hazikuwa za kawaida na kuongeza kuwa ''kuwa kwenye karantini si kitu ukilinganisha na familia nyingine nchini Canada wanaopitia haya''.
''Ninawatia moyo na kuwaweka kwenye fikra zangu (lakini zaidi tu ''nawatakia afya njema'' nawapatia pambaja kwa mbali!)'', alion
Image captiontrump
Rais wa Marekani Donald Trump amesema hana mpango wowote wa kupima virusi, ingawa alikaribiana na afisa kutoka Brazil ambaye sasa amegundulika kuathirika na virusi hivyo.
Ikulu ya Marekani imesema hakuwa na mazungumzo na afisa huyo wa Brazil, hivyo hakukuwa na umuhimu wa kupima.
Fabio Wajngarten, Waziri wa mawasiliano wa rais wa Brazil Jair Bolsonaro, aliweka kwenye mtandao wa Instagram picha yake akiwa amesimama karibu na Rais Trump.
Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau na mke wake watabaki kwenye karantini kwa siku 14 , baada ya mkewe Sophie Gregoire Trudeau kukutwa na virusi vya corona.
Sophie Gregoire Trudeau ''anaendelea vizuri na dalili alizonazo si mbaya'' alisema mkurugenzi wa mawasiliano wa Waziri Mkuu.
Bwana Trudeau pia atakuwa kwenye karantini kama hatua ya tahadhari. Hatapimwa katika hatua za sasa kwa kuwa haoneshi dalili za maambukizi.
Katika ukurasa wa Twitter, Bi Sophie aliandika ''nitarejea nikiwa na afya njema hivi karibuni,''
Bi Trudeau amesema alikuwa amepata dalili ambazo hazikuwa za kawaida na kuongeza kuwa ''kuwa kwenye karantini si kitu ukilinganisha na familia nyingine nchini Canada wanaopitia haya''.
''Ninawatia moyo na kuwaweka kwenye fikra zangu (lakini zaidi tu ''nawatakia afya njema'' nawapatia pambaja kwa mbali!)'', alion
Image captiontrump
Rais wa Marekani Donald Trump amesema hana mpango wowote wa kupima virusi, ingawa alikaribiana na afisa kutoka Brazil ambaye sasa amegundulika kuathirika na virusi hivyo.
Ikulu ya Marekani imesema hakuwa na mazungumzo na afisa huyo wa Brazil, hivyo hakukuwa na umuhimu wa kupima.
Fabio Wajngarten, Waziri wa mawasiliano wa rais wa Brazil Jair Bolsonaro, aliweka kwenye mtandao wa Instagram picha yake akiwa amesimama karibu na Rais Trump.