Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Maybe uko sahihi.
Lakini kwa trump kutokuwa na mpango wa kupima ni ujinga coz hivi karibuni alikutana na ofisa wa kibrazili ambae amekutwa na ugonjwa huo.
Na Ivanka trump alikuwa na mkutano na ofisa wa australia ambae nae amekutwa na ugonjwa huo.
Kwa mtu mwenye kuchukua tahadhari angepima tuu.
Yasije yakamkuta ya Rudy Gobert
Hayo ni maoni yako tu.
Kupima ni uamuzi wake.
Wewe umepima?