othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
- Thread starter
- #21
Na mimba atabeba mfululizo sitaki ujinga tenaIchape sana kupoza machungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimba atabeba mfululizo sitaki ujinga tenaIchape sana kupoza machungu
Dah ndugu yangu sina cha kuwashauri za ya kuwaambia kila mchumia janga hula na wakwaoUnawashauri Nini vijana wanaowaza kuoa mwanamke mwenye kazi yake
🤣Na mimba atabeba mfululizo sitaki ujinga tena
Yani acha tu nyie wanawake akili zenu mnazijua wenyeweMvumilivu hula mbivu!
Ebana ni kweli msoto utakaopitia ni mungu tu ndio anajuaUkitaka kuijuwa jehanamu kama uko ndoani. Mke akuzidi kipato. Mume utasaga meno!
Ila wako wachache sana wanaojielewa.
Whatever itakavyoitwa cha msingi ananiheshimu na kunisikiliza kwa sasa hata kama utiifu wake ni bandia mm sijali hiloHuo sio utiifu hiyo ni manipulation.
Ila kama hauna tatizo kuwa manipulated ilimradi unapata unachotaka, kula maisha.
Yes it works perfect, Kila ka heri.Whatever itakavyoitwa cha msingi ananiheshimu na kunisikiliza kwa sasa hata kama utiifu wake ni bandia mm sijali hilo
Sawa ila wacha iwe hivyo mungu aendelee kumpigania donald trump na ampe afya njemakwa akili hizi huyo bibie kaolewa na zumbukuku mzungu wa reli.
Hakika mwamba kaleta reformation kwenye ndoa
Nimefua sn chupi zake na sidiria, yote nikiamini na showlove kwa my wife wngWanaume kama nyie mnapatikanaga wapi? Yaani hadi kyupi yake umefua😅😅
Akitoa mbususu ajira anapewa fasta na hivi umesema ana msambwandaSio rahisi ajira siku hizi ngumu kuna watu kibao wapo kitaa wanasaga rumba ajira hakuna
Hapo sasa, wengi watapitia the same situation i was passed through.Sasa imajin kuna vudume villikuwa usaid navyo vinakaa kando na wake zao ndio wanashika usukani. Kucheza ni kupokezana...
Sasa hv najipakulia tu minyamaKutesa kwa zamu. Wakati ni wako sasa!