Nimemuelewesha kidogoHuelewi unachokiongea.! Nimekusamehe bure..
Uwe na siku njema..
Ni hivi hiyo makala the bold kairusha whatsapp group ,sasa kuna member kaikopy kaileta huku jf kama ilivyooooo umeelewa
Tukiambiwa tuandike kila mtu kuhusu Trump hatuwez andika makala zinazofanana ,,,jaribu kumuelewa The bold halaf basi angetoa credit kuwa mwandishi ni the bold
Sikufahamu kama kuna watu wenye ubaguzi kama The bold.nayeye tumshitaki kwa mello hatoke!
Una point ya msingi hapa!! Nadhan muusika ataleta jibuMkuu The Bold Cool down.......!! Sikatai na wala sitakubali kazi za watu zizulumiwe japo hata kwa kuweka Source ya hiyo habari tu........swali wewe unaposema hii story ni yako uliitunga.......? na Kama hukutunga uliweka Source...?
Hebu angalia hapa
Nuclear football - Wikipedia......... na Je wengine hawana haki ya kuweka humu JF kwa sababu tu wewe ulisimulia huko kwenye Group lenu....? ambako sisi wengine hatupo.........?????!!!!!!
basi wawe wana acknowledge wote
Tunashukuru kwa udukuzi huu tungejuaje hizi nondo na pia kama kuna group ,basi MTU join na sisi sio mpaka tudukuliwe hongera mdukuzi umetuosha macho!Mkuu the bold vbaya hvy bhana, kumbe una group nyeti unatupiaga nondo km hizi whl huku huzitupii, ndio maan jamaa kadukua.......
Kwenye UBORA wako........Ukweli usemwe......NNNNMwaaaaaaaaaaaa......basi wawe wana acknowledge wote
nnnnmwaaaaaaaaaKwenye UBORA wako........Ukweli usemwe......NNNNMwaaaaaaaaaaaa......
Duhuuu hii imekaa poa sana !kunakuwa na makombora chini ya ardhi,sasa moscow ikipigwa na watu wakafa ikiwemo Rais,basi kuna mitambo inasense radioactive kisha inafyatua makombora automaticaly
Tatizo lugha ya malkia kwa sisi tunaokienzi kiswahili sijui itakuwaje!Dah basi pole aisee jamaa naona ana watu wengi anao watag labda anapitiwa ila sio kesi mbona kuna online libraries kibao na Novel nyingi tu za mambo haya unaweza soma
Pita kwa Rasi Simba akupige msasa mkuu ,mimi mwenyewe nimeishia la 3B akili sina ,Rasi Simba na Konyagi wakanisaidia sana [emoji38]Tatizo lugha ya malkia kwa sisi tunaokienzi kiswahili sijui itakuwaje!
wameota mapembe! Wanadhani wao ndiyo wenye uwezo wa kujua mambo!! Yaan et unajidai kabix" ntawatumbua kwenye group langu" kumbe dizain ya magu wapo wengi eeenh!!!??Sikufahamu kama kuna watu wenye ubaguzi kama The bold.
Bro umejiabisha kinoma!!! umejishushia heshima uliyokuwa nayo hapa JF.Huelewi unachokiongea.! Nimekusamehe bure..
Uwe na siku njema..
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mademu wa jf washampa kichwa huyu ndio maana unaona dharau kibao ,si unaona hata waliomtag humu wengi wao ni wanawake waliopo kwenye hilo group lake
Naona maneno na mwandiko wa The bold..
Haki miliki.izingatiweKwahiyo now days story zako ni exclusive?......Kwamba huziweki tena in public bali ni kwa watu wachache?........Kwahiyo ndugu yetu huyu aliyetuletea mada ndio sababu ya wewe kufura povu?.........Hukutaka member wengine wasome hiyo habari?........Kama ulitaka, wangesomaje?
Ule ni mkoba wa tunguri za waganga wa kanda ya ziwa.
Mkuu naomba uni add kwa hiyo group piaHebu kuwa na aibu hata kidogo..
Huo mchezo unaoufanya wewe/mwenzako anayekuibia makala kutoka kwenye group la "Simulizi Za The Bold" alafi unakuja kuziweka huku bila aibu kujifanya za kwako siku zenu zinahesabika.. I'm tracking you down, soon mnakuwa removed from the group.. Ndani ya siku mbili tu nawatumbua..
Shame.!!