Trump apewe nuclear codes

Trump apewe nuclear codes

Ni hivi hiyo makala the bold kairusha whatsapp group ,sasa kuna member kaikopy kaileta huku jf kama ilivyooooo umeelewa
Tukiambiwa tuandike kila mtu kuhusu Trump hatuwez andika makala zinazofanana ,,,jaribu kumuelewa The bold halaf basi angetoa credit kuwa mwandishi ni the bold

soma hapa
Nuclear football - Wikipedia

Naye alitoa Source....?
 
Mkuu The Bold Cool down.......!! Sikatai na wala sitakubali kazi za watu zizulumiwe japo hata kwa kuweka Source ya hiyo habari tu........swali wewe unaposema hii story ni yako uliitunga.......? na Kama hukutunga uliweka Source...?
Hebu angalia hapa
Nuclear football - Wikipedia......... na Je wengine hawana haki ya kuweka humu JF kwa sababu tu wewe ulisimulia huko kwenye Group lenu....? ambako sisi wengine hatupo.........?????!!!!!!
Una point ya msingi hapa!! Nadhan muusika ataleta jibu
 
Huelewi unachokiongea.! Nimekusamehe bure..

Uwe na siku njema..
Bro umejiabisha kinoma!!! umejishushia heshima uliyokuwa nayo hapa JF.

Unachokifanya ni sawa na wale watoto wa kindergarten ambao vifutio vyao vikitumiwa na watoto wengine wanaanza kulia lia.
Kwenye hii mada kuna nini cha maana cha kukutoa povu?
 
Kwahiyo now days story zako ni exclusive?......Kwamba huziweki tena in public bali ni kwa watu wachache?........Kwahiyo ndugu yetu huyu aliyetuletea mada ndio sababu ya wewe kufura povu?.........Hukutaka member wengine wasome hiyo habari?........Kama ulitaka, wangesomaje?
Haki miliki.izingatiwe
 
Hebu kuwa na aibu hata kidogo..

Huo mchezo unaoufanya wewe/mwenzako anayekuibia makala kutoka kwenye group la "Simulizi Za The Bold" alafi unakuja kuziweka huku bila aibu kujifanya za kwako siku zenu zinahesabika.. I'm tracking you down, soon mnakuwa removed from the group.. Ndani ya siku mbili tu nawatumbua..

Shame.!!
Mkuu naomba uni add kwa hiyo group pia
 
Jamani msivunje nguvu ya MTU.kukaa na kusoma kitu na kukitafsiri sio kazi ndogo.na kukiandika humu.wewe kama unajua tuache sisi tusiojua tumfuate.habari za kukopi mada za jamaa alafu unaleta humu kimya kimya sio fresh.kaa na wewe tafuta kitu utafsiri utuletee kama ni kazi ndogo.au mnaona jamaa ana faidi?
 
Back
Top Bottom