Trump apewe nuclear codes

hahahahahahahah.!! Mdukuaji amekuwa kama Snowden..

Watu wanampongeza na sisi serikali ya Marekani tunamsaka kwa udi na uvumba..
Huhuhuhuhuhu....
Mdukuzi ameondoka na mafaili nyeti sana. Naamini Siku mbili tatu atafanya yake tena.
Ukimtia nguvuni Ntajua kweli wewe Ndo Rweyemam Charles.
 
Yeye amekuja kumlalamikia nani kwa mfano?

Amekuja kulalamika kwa members ili tujue kwamba makala ni yake na sii ya mleta mada?
 
Wandugu nasignoff kidogo hapa Tazara Fly over naona tumeitwa sisi vibarua tunaosubiri huenda kutakuwa na nasafi....ngoja niende huenda naweza pata Fweeza ya kula Usiku.........
 
Hahahahahahaha.! Tazama sasa..

Nimekurushia chambo and you have taken the bait, and now you are showing your true colours.. Ndio maana nakwambia wewe ni hater, na nimelijua hilo kitambo tu..

Aiseeeee wewe ni mkali wa hizi kazi baba.
Umekuwa ukiniambia hilo nikawa napingana nawe vikali kwamba jamaa ni mtu poa.
Ila kwa uzi huu naomba unisamehe, nilikosea kumuamini mnafiki yule aliyejificha ktk mwamvuli wa ukarimu.

So far nakupongeza kwa moyo wa kipekee ulionao,umekuwa ni mwenye kushambuliwa na kukejeliwa lakini nafurahi maana mwisho ni wewe ambaye huibuka mshindi.

Am really really proud of you my sweetheart
[emoji8] [emoji8] [emoji8]
 

hii comment ndio imefanya nikukumbuke mdau maana ID yako ilikuwa familiar kichwani mwangu lakini nashindwa kukumbuka vizuri.. ila uliposema "zege", "tazara" ndio nimekukumbuka..

aisee kumbe ni wewe mkuu!! nimehuzunika sana, wewe sio wa kushangilia namna hii kwa kuona dhulma na hujuma ikifanyika dhidi yangu.. i didnt expect this from you!!

Anyways, siku zote huwa naamini; "MUNGU HAMTUPI MTU MWENYE DHAMIRA YA KWELI.! HAWEZI SHINDWA, HAWEZI KATA TAMAA"

Kama Mungu alivyokuwa upande wangu 2014 na pia akawa pamoja nami mwaka jana octoba.. Ndivyo hivyo hivyo nitakavyoshindwa dhidi ya hawa wahuni..
 
Yeah huduma.zinapishana

Watu wanasema kwa kauli hiii PAMBANA.NA HALI YAKO

Wale wa 5000/= watawai kusoma kama sijakosea na sio kwamba atastop kabisaaa kutoa nakala jf..


So man habar dunia zipo.nyingi ,utakuwa unapotezea muda kusoma hzo mpk hapo the bold atakapo tuma.kitu......ndio majibu ya vya bure huna namna

Kila mbuzi hula kulingana.na urefu wa kamba yake
 
Acha ubinafsi
Kwani yeye akikopy kule na kuleta humu kuna nini.!?

Acha kujifanya unajua sana mbona hata we pia ulisoma sehemu,
Makala ingekuwa yako kama ungefanya uchunguzi na kugundua peke yako.
 
Ni kweli Mkuu.
Ila jamaa katuletea uhondo.
Kwani wewe aupend uhondo huu.?
Kosa lake akuweka wazi tu kua Makala ni Ya Bold.
 
Mkuu vizuri sana bora umemuelewesha huyu mbinafsi
 
hahahahaha The bold[emoji115]
 

hahahahahah.!! Ndio binadamu..

kuna mtu amekuquote hapo juu makusudi kukuprovoke kwa kutumia lugha ya matusi.. naomba usimjibu kabisa.. achana naye..

Mwisho wa siku tutaona nani ni mkweli.!! time will tell, Mungu hamtupi mtu mwenye dhamira ya kweli..
 
Tumnyonge tu lakini haki yake tumpe.kiingereza cha mambo ya intelligence kilivyokuwa na misamiati migumu.alafu mtu anajitahidi kututafsiria na kutuletea sio mchezo.
 
Mimi sina tabia za kubeza watu, lakini alivyo react ame symbolize immaturity.

Alivyokuja hapa kulalamika, anamlalamikia nani kwa mfano?

Mleta mada kavunja sheria ipi ya JF?.........Nadhani kuna ma mangi meza yenye secrete fetish ya kuhodhi fikra za watu.
 
Mkuu The Bold DHAMIRA INANISUTA POLE SANA ILA......NAAKISI MAISHA HALISI......SI UMESEMA KWENYE VIPEPEO WEUSI...........so sorry a Millions.....nipo bado hapa Tazara Nasota tu......
Nifah,The Boss hawasemi chochote kwangu......
Labda wananihurumia na wameniona nina njaa......
 

Hivi ndivyo ilivyo Mkuu,nashangaa waliotumia reaction yake kama fimbo ya kumchapia na kutemea nyongo zao.
Sio mbaya as tumewajua rangi zao halisi.
 
Mkuu vizuri sana bora umemuelewesha huyu mbinafsi
Ndo maana nikasema mbegu nzuri inaanguka penye udongo mzuri aisee.

Watu kwa nje wamevaa miili mizuri lakini kwa ndani kuna tabia za kikorosho.

Haka ni ka makala ka kutafsiri tu mtu anafura povu la Omo,.....Imagine kama angekuwa ndiye invetor wa Internet.
Ndo maana Africa hakuna maendeleo sababu ya watu kuwa na wivu tena kwenye vitu visivyo na ulazima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…