Trump apewe nuclear codes

Trump apewe nuclear codes

hahahahahahahah.!! Mdukuaji amekuwa kama Snowden..

Watu wanampongeza na sisi serikali ya Marekani tunamsaka kwa udi na uvumba..
Huhuhuhuhuhu....
Mdukuzi ameondoka na mafaili nyeti sana. Naamini Siku mbili tatu atafanya yake tena.
Ukimtia nguvuni Ntajua kweli wewe Ndo Rweyemam Charles.
 
Hivi yeye kulalamika makala yake kukopiwa kutoka huko ilikotolewa ni kosa?

Well tuseme kacopy kutoka huko wikipedia hakutumia muda wake kukopi na kutafsiri?

Aliyejiaibisha ni nani kati yake anayelalamika kukopiwa makala yake hapa na wewe uliyeko hapa kuunda majungu?
Una kipi cha maana unachokifanya ktk hii thread?
Unapigania nini?
Yeye amekuja kumlalamikia nani kwa mfano?

Amekuja kulalamika kwa members ili tujue kwamba makala ni yake na sii ya mleta mada?
 
Wandugu nasignoff kidogo hapa Tazara Fly over naona tumeitwa sisi vibarua tunaosubiri huenda kutakuwa na nasafi....ngoja niende huenda naweza pata Fweeza ya kula Usiku.........
 
Hahahahahahaha.! Tazama sasa..

Nimekurushia chambo and you have taken the bait, and now you are showing your true colours.. Ndio maana nakwambia wewe ni hater, na nimelijua hilo kitambo tu..

Aiseeeee wewe ni mkali wa hizi kazi baba.
Umekuwa ukiniambia hilo nikawa napingana nawe vikali kwamba jamaa ni mtu poa.
Ila kwa uzi huu naomba unisamehe, nilikosea kumuamini mnafiki yule aliyejificha ktk mwamvuli wa ukarimu.

So far nakupongeza kwa moyo wa kipekee ulionao,umekuwa ni mwenye kushambuliwa na kukejeliwa lakini nafurahi maana mwisho ni wewe ambaye huibuka mshindi.

Am really really proud of you my sweetheart
[emoji8] [emoji8] [emoji8]
 
Sawa Mkuu Mimi binafsi sikatai na wala sitakataa kuwa Mkuu The Bold anakipaji cha uandishi lakini si Miungoni mwa walioshauri aanzishe Group kwenye simulizi ya VIPEPEO WEUSI.....kwani kufanya hivyo kunatunyima haki isiyo rasmi humu ndani kisa eti hatuna FWEEZA ya kummotisha Mkuu The Bold......ingawa siyo jambo mbaya lakini sisi wengine ni Mbwa kachoka bado nipo hapa Tazara nadoea kazi ya Zege kwa hawa Wajapani............Kwa maana hiyo basi Mkuu The Bold mimi sina FWEEZA na nataka kusoma mapema kama hao walio kwy Group..............Tshs 5,000/= nyingi sana........Mchana wenyewe nakaanga Machine..........

hii comment ndio imefanya nikukumbuke mdau maana ID yako ilikuwa familiar kichwani mwangu lakini nashindwa kukumbuka vizuri.. ila uliposema "zege", "tazara" ndio nimekukumbuka..

aisee kumbe ni wewe mkuu!! nimehuzunika sana, wewe sio wa kushangilia namna hii kwa kuona dhulma na hujuma ikifanyika dhidi yangu.. i didnt expect this from you!!

Anyways, siku zote huwa naamini; "MUNGU HAMTUPI MTU MWENYE DHAMIRA YA KWELI.! HAWEZI SHINDWA, HAWEZI KATA TAMAA"

Kama Mungu alivyokuwa upande wangu 2014 na pia akawa pamoja nami mwaka jana octoba.. Ndivyo hivyo hivyo nitakavyoshindwa dhidi ya hawa wahuni..
 
Sawa Mkuu Mimi binafsi sikatai na wala sitakataa kuwa Mkuu The Bold anakipaji cha uandishi lakini si Miungoni mwa walioshauri aanzishe Group kwenye simulizi ya VIPEPEO WEUSI.....kwani kufanya hivyo kunatunyima haki isiyo rasmi humu ndani kisa eti hatuna FWEEZA ya kummotisha Mkuu The Bold......ingawa siyo jambo mbaya lakini sisi wengine ni Mbwa kachoka bado nipo hapa Tazara nadoea kazi ya Zege kwa hawa Wajapani............Kwa maana hiyo basi Mkuu The Bold mimi sina FWEEZA na nataka kusoma mapema kama hao walio kwy Group..............Tshs 5,000/= nyingi sana........Mchana wenyewe nakaanga Machine..........
Yeah huduma.zinapishana

Watu wanasema kwa kauli hiii PAMBANA.NA HALI YAKO

Wale wa 5000/= watawai kusoma kama sijakosea na sio kwamba atastop kabisaaa kutoa nakala jf..


So man habar dunia zipo.nyingi ,utakuwa unapotezea muda kusoma hzo mpk hapo the bold atakapo tuma.kitu......ndio majibu ya vya bure huna namna

Kila mbuzi hula kulingana.na urefu wa kamba yake
 
Hebu kuwa na aibu hata kidogo..

Huo mchezo unaoufanya wewe/mwenzako anayekuibia makala kutoka kwenye group la "Simulizi Za The Bold" alafi unakuja kuziweka huku bila aibu kujifanya za kwako siku zenu zinahesabika.. I'm tracking you down, soon mnakuwa removed from the group.. Ndani ya siku mbili tu nawatumbua..

Shame.!!
Acha ubinafsi
Kwani yeye akikopy kule na kuleta humu kuna nini.!?

Acha kujifanya unajua sana mbona hata we pia ulisoma sehemu,
Makala ingekuwa yako kama ungefanya uchunguzi na kugundua peke yako.
 
Muda haukufika wa kuileta ila naamini angeileta.kwani ametuletea mangapi aje atufiche ili.?ila sio fresh kuweka kazi ya MTU bila ruhusa yake.kama unakumbuka alishawahi kulalamika kuhusu gazeti la kisiwa kukopi makala ile ya kuuawa kwa Osama.Allah amrehemu.akawalalamikia jamaa wakamuelewa.hapa Tanzania kuna waandishi kibao.mbona hawaziandiki hizi makala kama ni kazi ndogo?tuheshimu nguvu na juhudi za mtu.pia na muda wake anaokaa kusoma na kutuandikia.
Ni kweli Mkuu.
Ila jamaa katuletea uhondo.
Kwani wewe aupend uhondo huu.?
Kosa lake akuweka wazi tu kua Makala ni Ya Bold.
 
Walio anzisha JamiiForums ni positive great thinkers,

Maana walikuwa na ndoto ya kuwaunganisha watu wote bila kujali utofauti wao kwa lengo la kujifunza na kushea habari.......Hawatofautiani sana na wale African Elites.
Si lazima tukubaliane wote kwenye mada zote zitakazoletwa hapa, lakini kikubwa ni kwamba kupitia JF watu wote wanaopingana ama kukubaliana jambo wameunganishwa.

Sasa leo mtu anakuja kuleta mgawanyo wa wajumbe kwa vitu vidogo kama vile vistori vya kutafsiri kutoka google.....Eti kuna kakikundi ka wajumbe ndo watakaohusika tu.

Kuna watu kama wangekuwa wamiliki/waanzilishi wa JF, kungekuwa na kiingilio na ada za kila mwezi kwa members wote. Uzuri ni kwamba akili siyo makalio kila mtu awe nazo, zinaangukia penye utu.
Hebu kuwa open minded halafu uone kama hii mada ina nguvu ya kumtoa mtu povu kama siyo gubu na kuwa akili za kiubinafsi?
Mkuu vizuri sana bora umemuelewesha huyu mbinafsi
 
Hebu kuwa na aibu hata kidogo..

Huo mchezo unaoufanya wewe/mwenzako anayekuibia makala kutoka kwenye group la "Simulizi Za The Bold" alafi unakuja kuziweka huku bila aibu kujifanya za kwako siku zenu zinahesabika.. I'm tracking you down, soon mnakuwa removed from the group.. Ndani ya siku mbili tu nawatumbua..

Shame.!!
hahahahaha The bold[emoji115]
 
Aiseeeee wewe ni mkali wa hizi kazi baba.
Umekuwa ukiniambia hilo nikawa napingana nawe vikali kwamba jamaa ni mtu poa.
Ila kwa uzi huu naomba unisamehe, nilikosea kumuamini mnafiki yule aliyejificha ktk mwamvuli wa ukarimu.

So far nakupongeza kwa moyo wa kipekee ulionao,umekuwa ni mwenye kushambuliwa na kukejeliwa lakini nafurahi maana mwisho ni wewe ambaye huibuka mshindi.

Am really really proud of you my sweetheart
[emoji8] [emoji8] [emoji8]

hahahahahah.!! Ndio binadamu..

kuna mtu amekuquote hapo juu makusudi kukuprovoke kwa kutumia lugha ya matusi.. naomba usimjibu kabisa.. achana naye..

Mwisho wa siku tutaona nani ni mkweli.!! time will tell, Mungu hamtupi mtu mwenye dhamira ya kweli..
 
"Nitawatumbua",ha ha ha ha,huyu ,@Thebold kalewa madaraka huyu,ha haha,

anyway mi nakubali kabisa kazi anayoifanya si ndogo kamwe,kwanza ni timeconsuming,so anatumia mda mwingi sana hadi kukamilisha hiyo kazi
na impact yake kwa watu ni kubwa,maana sio wote wanaweza kuelewa vizuri lugha ya kingereza,so anasaidia kusambaza knowledge kwa watu ambao hawangeweza kuipata,

na kama kweli mjamaa kaenda huko kwenye group na kucopy kama ilivyo na kuileta hapa,reaction ya thebold naweza kuirate kama Reasonable
Tumnyonge tu lakini haki yake tumpe.kiingereza cha mambo ya intelligence kilivyokuwa na misamiati migumu.alafu mtu anajitahidi kututafsiria na kutuletea sio mchezo.
 
Kuishi na watu ni.kaz kudadek..watu walio kuwa wanasoma KIPEPEO ndio walio muomba THE BOLD afungue grp la whats app japp wampe yakupozea koo kwa kazi nzur

SasaCHARMILTON na wenzio mnaobeza bila kujua hivi story ya KIPEPEO mmeisoma kweli??

Maana ni.nzur ..so watu wakaona soo kusoma bure inakuwa kama wanamuiba mshikaji vile...THE.BOLD hajabagua watu kabisa .....

Watu wasengerema kinoma eti sifa anazo pewa na watoto wa kike...wakuu kutafsir si jambo la kitoto


Usome uelewe then uandike then jitu linacopy kilais lais hivyo...yanakuja majitu yanasemwa yanatengwa



Someni KIPEPEO muone ushujaa wa huyu wa mtu


Achen zenu jamaa.yupo gerezan anamkosa cheupe na majitu inatibua zaid huku
Mimi sina tabia za kubeza watu, lakini alivyo react ame symbolize immaturity.

Alivyokuja hapa kulalamika, anamlalamikia nani kwa mfano?

Mleta mada kavunja sheria ipi ya JF?.........Nadhani kuna ma mangi meza yenye secrete fetish ya kuhodhi fikra za watu.
 
hii comment ndio imefanya nikukumbuke mdau maana ID yako ilikuwa familiar kichwani mwangu lakini nashindwa kukumbuka vizuri.. ila uliposema "zege", "tazara" ndio nimekukumbuka..

aisee kumbe ni wewe mkuu!! nimehuzunika sana, wewe sio wa kushangilia namna hii kwa kuona dhulma na hujuma ikifanyika dhidi yangu.. i didnt expect this from you!!

Anyways, siku zote huwa naamini; "MUNGU HAMTUPI MTU MWENYE DHAMIRA YA KWELI.! HAWEZI SHINDWA, HAWEZI KATA TAMAA"

Kama Mungu alivyokuwa upande wangu 2014 na pia akawa pamoja nami mwaka jana octoba.. Ndivyo hivyo hivyo nitakavyoshindwa dhidi ya hawa wahuni..
Mkuu The Bold DHAMIRA INANISUTA POLE SANA ILA......NAAKISI MAISHA HALISI......SI UMESEMA KWENYE VIPEPEO WEUSI...........so sorry a Millions.....nipo bado hapa Tazara Nasota tu......
Nifah,The Boss hawasemi chochote kwangu......
Labda wananihurumia na wameniona nina njaa......
 
"Nitawatumbua",ha ha ha ha,huyu ,@Thebold kalewa madaraka huyu,ha haha,

anyway mi nakubali kabisa kazi anayoifanya si ndogo kamwe,kwanza ni timeconsuming,so anatumia mda mwingi sana hadi kukamilisha hiyo kazi
na impact yake kwa watu ni kubwa,maana sio wote wanaweza kuelewa vizuri lugha ya kingereza,so anasaidia kusambaza knowledge kwa watu ambao hawangeweza kuipata,

na kama kweli mjamaa kaenda huko kwenye group na kucopy kama ilivyo na kuileta hapa,reaction ya thebold naweza kuirate kama Reasonable

Hivi ndivyo ilivyo Mkuu,nashangaa waliotumia reaction yake kama fimbo ya kumchapia na kutemea nyongo zao.
Sio mbaya as tumewajua rangi zao halisi.
 
Mkuu vizuri sana bora umemuelewesha huyu mbinafsi
Ndo maana nikasema mbegu nzuri inaanguka penye udongo mzuri aisee.

Watu kwa nje wamevaa miili mizuri lakini kwa ndani kuna tabia za kikorosho.

Haka ni ka makala ka kutafsiri tu mtu anafura povu la Omo,.....Imagine kama angekuwa ndiye invetor wa Internet.
Ndo maana Africa hakuna maendeleo sababu ya watu kuwa na wivu tena kwenye vitu visivyo na ulazima.
 
Back
Top Bottom