Trump apewe nuclear codes

Kumbe huyu ndiye yule jamaa aliyekuwa analalamika kule kwenye vipepeo weusi kwamba maisha ni magumu ndio ukamtia moyo?
Daaaaaaaahhhh [emoji87]
 
Unauuliza majibu mbona..kazi kafanya yeye ni yake ndio
Ok sawa, kashalalamika na sasa hivi ni suspected kuwa huenda makala ni yake, kwahiyo nini kinafuata?..........Binafsi nadhani hakuna cha msingi zaidi ya kuanika utoto.
 
Sasa na wewe unamlalamikia nani?
 
Huo muda wa kujibizana na vichaa naupatia wapi baby?
Tuna mengi ya kufanya eti?
 

Usijali Mkuu.. Tuko Pamoja!

no hard feelings..
 
Wakuu upande wangu Mimi sioni mantiki yakuendelea namalumbano umu.Kila member amuheshimu mwenzie na kila member mchango wake ni muhimu kwa Jf. Nivyema pia unapochukua makala toka sehemu acknowledge mwandishi ili kuondoa migongano kama hii.
 
 
Sina chuki yoyote usilete mapenzi kwenye maswala ya msingi ,
Mimi silali naye kitandani huyo kwamba kila anachosema lazima nikubaliane naye
 
Kwahiyo mtu kuleta mada JF hadi aruhusiwe na mtu?

Si kwamba kila mtu analeta mada aliyokutana nayo bila kuvunja sheria za JF?

Nyie mna utofauti upi na yule anayetamani kuzimwa kwa mitandao ya kijamii?
Wewe utakuwa una bifu na jamaa tangu muda,sasa ulikuwa unamtafutia sababu umlipue.mwenzako ana lalamika kwa sababu.wewe hauna sababu ya kumlalamikia.anachodai ni haki yake.kama ni rahisi kuandika andika na wewe utuwekee tutasomaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…