Trump apewe nuclear codes

Trump apewe nuclear codes

Hahahaa! Nipo mkuu post # 96

Ilibidi niwe mpole kidogo baada ya kuona personal attacks zinazidi badala ya watu kufanya debate ya hoja, sasa ukizingatia mimi na nifah tumenyonya ziwa moja. Ningefanya vurugu sana humu

Lakini pia ni busara kuwa mkimya hasa unapoona kuwa watu wana jazba na wewe, wana wivu na chuki juu yako..

Unapaswa kutumia busara ! Wengi humu Jf hatufahamiani katika maisha halisi kuwa ila tumetokea kuwa marafiki humu kutokana na michango na mawazo ya wanaJf

Ni vizuri tukadumisha upendo huo.

Ushauri:

The bold wewe sio malaika hivyo kaa ukijua sio kila mtu anapenda unachofanya..

Mwisho: Naamini tofauti zenu zimeisha mkuu ! Na maisha ya Jf yanaendelea sasa.
Nina imani hata Yesu angeishi katika dunia hii ya sasa ule uvumilivu wake ungepungua kama si kuisha kabisaa.
Sometimes mtu unalazimishwa kujibu hata kama si mtu wa dizaini hiyo,
Nafikiri njia nzuri ya kutoa donge moyoni ni kuyatema tu, ndo maana watu wanashauriwa kulia hadi machozi yaishe hyo ndo dawa ya kumaliza hasira,

Watu wanatokwa povu kama wamekatwa mishahara yao aisee
 
Nina imani hata Yesu angeishi katika dunia hii ya sasa ule uvumilivu wake ungepungua kama si kuisha kabisaa.
Sometimes mtu unalazimishwa kujibu hata kama si mtu wa dizaini hiyo,
Nafikiri njia nzuri ya kutoa donge moyoni ni kuyatema tu, ndo maana watu wanashauriwa kulia hadi machozi yaishe hyo ndo dawa ya kumaliza hasira,

Watu wanatokwa povu kama wamekatwa mishahara yao aisee
Hahahaa! Ila bora yaishe tuu! Hatupendi yatokee mkuu..

Yanavuruga mengi sana
 
Mkuu The Bold
Nakumbuka Mwaka Jana Miezi Ya Kuelekea Mwisho Wa Mwaka Kuna Gazette Lilichukua Makala Yako Moja Iliyohusu Kukamatwa/Kuuwa Kwa Osama Bin Laden.

Gazette Likajipamba Kwa Kona Zote Kwa Nukta Baadaye Ulikuja Kugundua Kuwa Ile Makala Ni Copy And Pest Na Uliyoweka Hapa Jf. Nadhani Baada Ya Kuwaeleza Ukweli Ilibidi Mfanye Mazungumzo Na Mwisho Mkakubaliana.

Kulikuwa Na Umuhimu Jamaa Kukuomba Ridhaa Yako Ili Aiweke Hiyo Makala Hapa Jf
Nadhani Namna Nzuri
Jitahidi Utuletee Wewe Mwenyewe Hizi Makala Maana Unaweka Hoja Mezani
Wasiojua Wanajua.

Binafsi Nadhani Umsamehe Bure Na Group
Livunje Halafu Uliunde Upya Kuondoa Ukakasi Wa Wanaomwaga Taarifa Zako
 
endeleeni kudukua hizo story mtuletee hapa, make wengine hatuna hiyo hela
 
Mkuu The Bold
Jana Trump Ndiyo Kabonyeza Kile Kidude Ama Bado Maana Syria Kilinuka Jana
 
Trump namuamini sana yule mzee, sasa waarabu wabishi watakoma maana chizi sasa kapewa rungu

Huyo mrusi mwenyewe hana lolote kama Trump akiamua kukinukisha kisawasawa.
 
Back
Top Bottom