Trump apokea rasmi tiketi ya Republican Party. Alaani wavamizi kutoka kwenye majela ya vichaa Venezuela, El Salvador, Afrika, wanaokwend kuharibu USA

Trump apokea rasmi tiketi ya Republican Party. Alaani wavamizi kutoka kwenye majela ya vichaa Venezuela, El Salvador, Afrika, wanaokwend kuharibu USA

Buyaka

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
1,705
Reaction score
1,953
AP_RNC_Signs_071524-1


Nchi yao imevamiwa na wahamiaji haramu. Wauaji, wabakaji, maharamia na wagonjwa wa akili kutoka kwenye majela ya vichaa. Ameahidi anaenda kukata mzizi wa fitina wa tatizo hili akichaguliwa.

Na kwenye uchumi, viwanda na biashara ya kimataifa ameahidi anaenda kumaliza exploitation ya mataifa mengine dhidi ya America kwa kuwatundika makodi ya 100% watakaomwaga bidhaa Marekani.

===================
My take.


Ni lini Afrika tutampata Donald Trump wetu atakaekataa exploitation ya Wachina, Wazungu na Waarabu kwenye nchi zetu hizi za wagongwa wa akili wanaokubali kuliwa na kila mtu ?

Na ataekaacha kumwita kila mja kwa jina la mgeni, mhamiaji na mwekezaji ? Na kuanza kuwaita wavamizi na wahalifu. Na atakaepambana na viongozi wetu wagonjwa wa akili wanaouuza watu wao wenyewe na maliasili zao wakitafuta pesa za kujengea ghorofa zenye swimming pool na za kuhonga vitoto vya chuo?
 
Hakika Marekani imeharibiwa na warabu, angalia ulaya ya Leo waafrika na warabu wanaharibu maisha kwa mauaji na visasi ulaya. Waarabu na waafrika wafukuzwe ulaya na Amerika waje huku tuendelee kuishi kipumbavu.
Hivi aliyemshambulua Trump ni mwafrica au mwarabu?
 
Hakika Marekani imeharibiwa na warabu, angalia ulaya ya Leo waafrika na warabu wanaharibu maisha kwa mauaji na visasi ulaya. Waarabu na waafrika wafukuzwe ulaya na Amerika waje huku tuendelee kuishi kipumbavu.
🤣🤣
 
Ni sawa ili waafrika wakae kwao watengeneze nchi zao na waache kwenda kuzamia ktk nchi za wengine ila shida itakuwa zaidi kwa waarabu wanaokimbia sheria zao za kijinga za karne ya saba.
Mkuu umemaliza Kila kitu... Nachokiona hapa kweli waafrika wanaweza kurudi tatizo kwa Hawa wenzetu wameamua kutoka kwao kwa sababu ya mambo ya kijinga ya kulazimisha habari za kusadikika za wahuni za miaka zaidi ya 1400 iliyopita.
 
AP_RNC_Signs_071524-1


Nchi yao imevamiwa na wahamiaji haramu. Wauaji, wabakaji, maharamia na wagonjwa wa akili kutoka kwenye majela ya vichaa. Ameahidi anaenda kukata mzizi wa fitina wa tatizo hili akichaguliwa.

Na kwenye uchumi, viwanda na biashara ya kimataifa ameahidi anaenda kumaliza exploitation ya mataifa mengine dhidi ya America kwa kuwatundika makodi ya 100% watakaomwaga bidhaa Marekani.

===================
My take.


Ni lini Afrika tutampata Donald Trump wetu atakaekataa exploitation ya Wachina, Wazungu na Waarabu kwenye nchi zetu hizi za wagongwa wa akili wanaokubali kuliwa na kila mtu ?

Na ataekaacha kumwita kila mja kwa jina la mgeni, mhamiaji na mwekezaji ? Na kuanza kuwaita wavamizi na wahalifu. Na atakaepambana na viongozi wetu wagonjwa wa akili wanaouuza watu wao wenyewe na maliasili zao wakitafuta pesa za kujengea ghorofa zenye swimming pool na za kuhonga vitoto vya chuo?
Kama kuna mkono wa mtu kwa JPM tunaendelea kumlaani na alaaniwe milele na milele
 
Back
Top Bottom