Trump asema magonjwa ya akili yanayosababishwa na msongo wa mawazo kwa amri ya kutotoka nje yameongezeka Marekani

Trump asema magonjwa ya akili yanayosababishwa na msongo wa mawazo kwa amri ya kutotoka nje yameongezeka Marekani

Corticopontine

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2019
Posts
666
Reaction score
1,277
Trump amesema kuwa kuendelea kuwafingia watu ndani ni kuwaua zaidi kuliko CORONA yenyewe

Watu wanaopiga namba za dharua imepindukia alisema Trump

Trump amesema wataandaa muongozo wa kukabiliana na janga hili alhamisi hii atatangaza namna ya watu watavyokabiliana na hili janga huku amri ya kutotoka nje ikitekelezeka

Najiuliza Mimi kama wamarekani wamesalimu amri sisi ni akina nani tujifungie hongera JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI
 
Kwahiyo wewe ndio ulikuwa unaongea na Trump anakwambia hayo maneno? Hii tabia inazidi sasa mod habari Kama hizi ambazo hazieleweki zilikotoka muwe mnazifutilia mbali huko.
Acha uchawi bas

Sent from my Infinix X650B using Tapatalk
 
Sera ya Magufuli kuhusu korona inaitwa "Do nothing" ambayo wana ccm wanataka Mwenyekiti wao asififiwe kwa kutochukua hatua hahahaa
 
Mpaka sasa njia ya kujifungia na kutokujifungia bado hazijaleta unafuu wa kuwa ndiyo njia ya kupunguza maambukizi ya Corona,

Hii ya kujifungia inanikumbusha Stori moja hivi ya wakoma, hawa watu walikimbia mjini na kwenda kujificha kuskojulikana Kwa sababu mjini mlikuwa na vita Kali Sana,

Wakoma hawa wakakaa huko ktk maisha ya dhiki kubwa, hapakuwa na chakula, mizizi na majani ndiyo ilikuwa ni chakula Chao huko

Siku moja walipoona njaa imewazidi Sana na miili Yao kuchoka taabani, wakakaa kushauriana, Jambo moja wakakubaliana kwamba, iwe mvua ama jua ni lazima twende mjini, mjini wakituu na watuuwe, maana hata tukibaki hapa bado tutakufa, mjini Kuna chakula, ya nini kubaki hapa tufe tunajiona?

Wakoma wakaamua Jambo moja, tunakwenda mjini ili kama ni kufa, tufe, kama tukibaki tutamshukuru Mungu,

Kumbe buana wale jamaa, katika tembea Yao Ile, Mungu aliweka mshindo mkubwa katika miguu Yao, kishindo kilichokuwa kinasikika ni kikubwa kiasi kwamba watu walio kilomita 10 Mbele, wanakisikia,

Watu wa mjini waliposkia hicho kishindo, walikimbia wakaacha kila kitu, silaha waluacha, madufulia ya chakula n.k

Basi ikawa ndiyo pona Yao hao jamaa,

Nataka kusemaje, Serikari zetu hizi zinazojaribu kujenga nchi zao ni za kiumaskini, kama serikali za nchi tajiri wanahofia uchumi Wao kuwafungia watu, hapa kwetu wakijaribu kufanya hivyo, Shure, nakwambia, ni Baada ya siku chache Tu, mfano wa watu wakoma watajitokeza, wataamua moja, ama kufa, ama kuishi, mtu huwezi kaa na njaa kisa eti nje kuna corona, wajaribu waone, kuna watakao kufa Kwa sababu watapigwa eiza na police ama watu watakaokuwa wakilinda watu wastoke Nje

Hili janga salama yake, ni mtu ujikabidhi Kwa Mungu, ili ukifa iwe faida
 
Ni upumb.avu wa hali ya juu kuleta mada za kishabiki wakati huu.

Kwa mtu mwenye akili, anajua kuwa mpaka sasa hakuma mwenye uhakika ni njia ipi iliyo sahihi kupambana na ugonjwa huu. Ukiona mtu analeta mada kama hizi, unashindwa kuelewa kama ni mzima au amepungukiwa kichwani.

Wakati huu siyo wa kufanya ushabiki wowote ule, hasa kwa suala hili la ugonjwa wa corona. Kama kungekuwa na njia iliyo wazi na sahihi ya kupambana na ugonjwa huu, Dunia nzima ingeiga, na hakuna ambaye angeangamia. Kwa sasa hakuna njia hata moja iliyoonekana ni efficient kwa 100%. Ni mwendawazimu tu anayeweza kumsifia yeyote yule nyakati hizi wakati hakuna mahali walipofanikiwa kuudhibiti ugonjwa huu kwa 100% perfection.

Nadhami ambaye atastahili pongezi ya pekee ni yule atakayewezesha chanjo kupatikana.
 
Trump amesema kuwa kuendelea kuwafingia watu ndani ni kuwaua zaidi kuliko CORONA yenyewe

Watu wanaopiga namba za dharua imepindukia alisema Trump

Trump amesema wataandaa muongozo wa kukabiliana na janga hili alhamisi hii atatangaza namna ya watu watavyokabiliana na hili janga huku amri ya kutotoka nje ikitekelezeka

Najiuliza Mimi kama wamarekani wamesalimu amri sisi ni akina nani tujifungie hongera JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI
Ala kumbe unaishi kwa kutegemea maamuzi ya makaburu? fanya maamuzi yako ndugu we si kidume.
 
SWALI jepesi tu, tunapompongeza JPM kwakutokufungia watu ndani "je yeye yupo huko kwenye mapambano"??. Au amekimbia hii vita?? Toka maambukiz yamezidi tumeona aliko au na Trump kaikimbia ikulu?
Haihitaji bunduki inahitaji akili ndicho anachofanya JPM anatumia akili nying kuliko nguvu
 
Ni upumb.avu wa hali ya juu kuleta mada za kishabiki wakati huu.

Kwa mtu mwenye akili, anajua kuwa mpaka sasa hakuma mwenye uhakika ni njia ipi iliyo sahihi kupambana na ugonjwa huu. Ukiona mtu analeta mada kama hizi, unashindwa kuelewa kama ni mzima au amepungukiwa kichwani.

Wakati huu siyo wa kufanya ushabiki wowote ule, hasa kwa suala hili la ugonjwa wa corona. Kama kungekuwa na njia iliyo wazi na sahihi ya kupambana na ugonjwa huu, Dunia nzima ingeiga, na hakuna ambaye angeangamia. Kwa sasa hakuna njia hata moja iliyoonekana ni efficient kwa 100%. Ni mwendawazimu tu anayeweza kumsifia yeyote yule nyakati hizi wakati hakuna mahali walipofanikiwa kuudhibiti ugonjwa huu kwa 100% perfection.

Nadhami ambaye atastahili pongezi ya pekee ni yule atakayewezesha chanjo kupatikana.
Sasa mkuu huoni kwamba hao wanaosababishia watu matatizo zaidi kwa kuwafungia ndani njia ambayo imeonekana haisaidii ndio wana matatizo zaidi? Sasa kwanini JPM asisifiwe kwa kuona hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
J
Ni upumb.avu wa hali ya juu kuleta mada za kishabiki wakati huu.

Kwa mtu mwenye akili, anajua kuwa mpaka sasa hakuma mwenye uhakika ni njia ipi iliyo sahihi kupambana na ugonjwa huu. Ukiona mtu analeta mada kama hizi, unashindwa kuelewa kama ni mzima au amepungukiwa kichwani.

Wakati huu siyo wa kufanya ushabiki wowote ule, hasa kwa suala hili la ugonjwa wa corona. Kama kungekuwa na njia iliyo wazi na sahihi ya kupambana na ugonjwa huu, Dunia nzima ingeiga, na hakuna ambaye angeangamia. Kwa sasa hakuna njia hata moja iliyoonekana ni efficient kwa 100%. Ni mwendawazimu tu anayeweza kumsifia yeyote yule nyakati hizi wakati hakuna mahali walipofanikiwa kuudhibiti ugonjwa huu kwa 100% perfection.

Nadhami ambaye atastahili pongezi ya pekee ni yule atakayewezesha chanjo kupatikana.
Njia sahihi ndio wanayoirudia walikurupuka kufungia watu hafu ww jitu zima unaendekeza matusi badala ya hoja una msongo wa mawazo si bure umechanganyikiwa hafu hujalazimishwa kuchangia nyambafu
 
Back
Top Bottom