Trump ashinda case ,Democratic party wanatapatapa hawana mshindani .

Trump ashinda case ,Democratic party wanatapatapa hawana mshindani .

Kura ya kumtia hatiani na Kumuondoa Madarakani au la itapigwa JUMATANO Tarehe 5.
Kura ya Jana ilikuwa inahusu kuruhusu kuletwa kwa Ushahidi Zaidi au kuita mashahidi zaidi.
Hata hivyo matokeo yeyote ya kura ya Jana yasingeathiri Matokeo yanayotarajiwa ya kura ya JUMATANO.
Kiuhalisia suala hili limeendeshwa kwa kutazama ushabiki wa itikadi za Vyama na hivyo kupoteza umaana wake.
Demokrat waliamini mchakato huu utawasaidia kuwajenga Kisiasa Lakini imekuwa kinyume kidogo.
Kiuhalisia hawana mgombea anayeweza Kupambana na Trump.
Ila na wao(demos) kwenye Congress walienda kichama zaidi. Nafikiri Perosi hakuwa makini kuruhusu mchakato uende Senate. Hakujua kuwa "he who controls the Senate, controls The America!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kura ya kumtia hatiani na Kumuondoa Madarakani au la itapigwa JUMATANO Tarehe 5.
Kura ya Jana ilikuwa inahusu kuruhusu kuletwa kwa Ushahidi Zaidi au kuita mashahidi zaidi.
Hata hivyo matokeo yeyote ya kura ya Jana yasingeathiri Matokeo yanayotarajiwa ya kura ya JUMATANO.
Kiuhalisia suala hili limeendeshwa kwa kutazama ushabiki wa itikadi za Vyama na hivyo kupoteza umaana wake.
Demokrat waliamini mchakato huu utawasaidia kuwajenga Kisiasa Lakini imekuwa kinyume kidogo.
Kiuhalisia hawana mgombea anayeweza Kupambana na Trump.
Donald Trump Baba Lao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom