Ww ndo hujui unacho kiongea, urusi na china hawana pesa za kuchezea eti wawakamue raia wao kodi ili waje kusaidia watu wenye mikono ,akili,na nguvu za kufanya kazi.Nani kakwambia, inaonekana hufahamu sasaivi China na Russia mpango wao mkubwa ni kuzitoa nchi washirika wa Marekani ziwaunge mkono wao halafu waje wafanikishe kuanzisha hela yao ili iipiku marekani kiuchumi, Trump hapa ndio anaenda kuharibu mipango ya US iliyojengwa muda mrefu sana
Kwanini msaidiwe hamna mikono ya kufanya kazi.Wafrika wanapenda udikteta sasa waende China. Urusi na Korea kaskazini kwa madikiteta wenzao wawasaidie.
He Uganda na Rwanda itapona kwenye hili?
Nakusoma mkuuKwamba saruji ni rahisi kuitengeneza kuliko toothpick ?
Maana tuna viwanda vya saruji, chokaa, vigae n k
Misaada tutegemee Marekani then Fursa na rasilimaki tuwape waChina....Trump amefikiria akaona kuna nchi zinamchezea.. Yaani kutinga tu AFCON watu wamelamba milioni 700, bado kuna mamilioni yanatolewa kwenye goli la mama na ngumi ya mama halafu bado hiyo nchi ipo kwenye orodha inasubiria msaada huo ni upumbavu.
ni wkt wa kwenda kuchukia nyingi ili Hadi siku 90 ziishe uwe unatumiaPia misaada ya wenzetu wanaotumia ARV imeondolewa?
Ndio tutajua namna ya kutumia vya kwetu kwa nidhamu.Mmh kwa utawala wa hutu mwamba Africa tutakoma
Povu la nini wakati hiyo miradi yenu huko tanganyika 65% ni ufadhili wa Marekani, wewe umeshika mitano tena hujui wala hufahamu lolote unavalishwa kapelo na shati za kijani tuPovu la nini sasa
Mbaya zaidi Russia hana uwezo wa kutoa misaada, Russia ni nchi masikini.Hii imekaa vyema.
Niwakati wa Rusia kutupa misaada sasa.
Trump ni zawadi kwa RussiaTrump hana akili, hii maana yake ndio kusema anavunja mahusiano na mataifa mengine duniani, China na Russia wa wakisikia habari hizi watafurahi sana na kucheza msondo, watalitumia hilo gape kuongeza marafiki na ushawishi na kupanua wigo wao wa kuwekeza kiuchumi kwenye hayo mataifa yatakayotengwa na Marekani.
US ndio inaenda kutengwa na dunia,
Hahahaaaa, ni mfano sahihi kabisa.Hizi ni akili za mke anayeelekea Kuwa single Mama akifikiri mchepuko ana msaada akitoka kwenye ndoa!
Na Wachina pia, sio wanachukua tu tenda za kujenga barabara halafu hawarudishi hata peanuts.Hii imekaa vyema.
Niwakati wa Rusia kutupa misaada sasa.