Trump asimamisha misaada kwa nchi nyingine kwa siku 90 ili kupitiwa upya. Tanzania nayo kuathirika

Nimeipenda hiii
Kwa hayo maswali hakuna watakao survive
 
Inashangaza sn
Trump akate kabisa hiyo misaada
 
Mkuu mataifa ya China na Russia watalitumia vizuri hilo gape, trump ni mwenda wazimu sana, Wenzake walikuwa wanazipembejea nchi duniani kwa mahusiano yeye ndio anaenda kuvunja, Trump sio mtu sahihi sana kwa uongozi wa Marekani
Ni kulikuwa na vita sana kati ya nchi za kisovieti na US kuhusu influence in africa.

Ni wakati sasa china kuwekeza zaidi na kuwa na influence africa kuliko US kama hata tumia fursa hio
 
Acha kukariri unafikiri NGO zote zilikuwa zinapata FUND kutoka USAID?

Mfano Mimi nipo WFP unafikiri nategemea USAID pekee
Mjinga tu huyo kutwa wanalalamika ajira hakuna. Wanasahau kwenye haya maisha kila mtu ana take risk zake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…