Trump asimamisha misaada kwa nchi nyingine kwa siku 90 ili kupitiwa upya. Tanzania nayo kuathirika

Trump asimamisha misaada kwa nchi nyingine kwa siku 90 ili kupitiwa upya. Tanzania nayo kuathirika

Safi sana
Pesa zenyewe hapa Afrika tunatumia kuimarisha taasisi za Urais
Pesa za Misaada kutoka Marekani wamekuwa wakizitumia kwa Matumizi ya kufanya anasa na kuishi maisha ya starehe. Wamekuwa wakifanya kufuru za kila aina kwa kutumia pesa hizo za Misaada, wamekuwa wakifanya ziara za kuzunguka duniani au kuzunguka nchi kwa misafafara yenye misururu mirefu ya magari ya kifahari huku Wananchi wengi zaidi kwenye nchi zao wakiishi maisha magumu Sana kwenye ufukara uliopindukia.
 
Hayo mataifa unayoyasema hayana sera za kimarekani hata kidogo.. Unawajua China unawasikia.? We hushangai kwanini WHO wanatoa mchango mdogo vile.?

Huwezi kuitenga US hata kidogo Mkuu kwenye hii dunia ukata ujua hilo.


Angalia Ndani ya nchi yako kma Kuna barabara au mradi wowote ule wa kimaendeleo ya kudumu umefanywa nje na KWA MSAADA WA WATU WA MAREKANI.
Ndio mana nikasema hilo gape ni opportunity kwa China na Russia kuzifariji nchi za Afrika na nyengine duniani ambazo zilikuwa zimelemaa kupokea misaada ya US
 
Ndio mana nikasema hilo gape ni opportunity kwa China na Russia kuzifariji nchi za Afrika na nyengine duniani ambazo zilikuwa zimelemaa kupokea misaada ya US
Hizi nchi ni mabahiri mno.

Pesa yao inatoka kimkatati haswaa.
 
Ndio mana nikasema hilo gape ni opportunity kwa China na Russia kuzifariji nchi za Afrika na nyengine duniani ambazo zilikuwa zimelemaa kupokea misaada ya US
Msaada wa China ni lazima umneemeshe yeye kwanza. Issue ya Bandari ya Bagamoyo, Issue ya Airport ya Zambia n miradi mingi kule imewaacha wazambia wanajuta sasa.
 
Pesa za Misaada kutoka Marekani wamekuwa wakizitumia kwa Matumizi ya kufanya anasa na kuishi maisha ya starehe. Wamekuwa wakifanya kufuru za kila aina kwa kutumia pesa hizo za Misaada, wamekuwa wakifanya ziara za kuzunguka duniani au kuzunguka nchi kwa misafafara yenye misururu mirefu ya magari ya kifahari huku Wananchi wengi zaidi kwenye nchi zao wakiishi maisha magumu Sana kwenye ufukara uliopindukia
Kuna chama kimenunua mabasi ya yutong 100
 
Nyinyi ni vilema mpaka mtegemee misaada?
Yaani naomba ikiwezekana waikate jumla ili akili zitukae sawa.

Yaani hela za kuhudumia raia hazipo mpaka mnategemea nchi nyingine ziwasaidie,lakini hela za kununu mashangingi mapya kila mwaka na mafuta ya kuyaendesha,kununua wapinzani ili waamie ccm,kunua magoli, kutoa zawadi kwa mashehe na maasikofu, za kiiba na kwenda kuficha uswizi ,za kupeleka wasanii korea hizo zipo za kutosha.
Pumbavu kabisa.
Ndio maana alituita shithole country
 
Mfano Tanzania tunapenda misaada kivipi wakati rasilimali nyingi za mpaka kula bata tunazo?

Trump yupo sahihi tujitafakari bana tutasaidiwa mpaka lini sisi!
Huyu sasa mbona anataka kutuafhiri,na mideni yetu ilivyo mokubwa tutapona kweli ..
 
Mfano Tanzania tunapenda misaada kivipi wakati rasilimali nyingi za mpaka kula bata tunazo?

Trump yupo sahihi tujitafakari bana tutasaidiwa mpaka lini sisi!

Misaada mingi ya nchi za magharibi huwa ni kwenye tafiti, si msaada wa moja kwa moja wa kifedha kwenda serikalini...
 
Kwa hiyo misaada inayotolewa na USAID, mfuko wa PEPFAR ndio basi tena!? Miradi ya afya itaathirika, kuna ile ya kupambana na malaria, kifua kikuu, ukoma na UKIMWI siju kama serikali yetu ina uwezo wa kustahimili yenyewe bila misaada. Mazoea ya kusaidiwa ni mabaya mno, siku mwenye kutoa msaada akigoma huleta kizaazaa
Kwa hiyo ARVs ndiyo bye bye? Tuone watu wakianza kunyonyoka nywele tena, ngoja nianze utafiti wa kutengeneza arv za miti shamba, hela nje nje
 
Warusi na wachina hawana pesa za kuchezea eti wakugawie ili uende kufanya mambo ya kipuuzi.
Hap watu wakikupa pesa usipo ilipa basi utaitapika kupitia matundu yote.
Hasa Wachina hawana mchezo kwenye pesa kuna jamaa yangu dereva malori aliwahi kuniambia. Wachina walikuwa wanaidai nchi ya Zambia wakaleta watu wao jamaa akaniambia mpaka Mchina ni trafik nchini Zambia.

Ifikie wakati nchi yetu ijatambue na ijitathimini sana haiwezekani inaenda kuomba msaada wa kujengewa matundu ya choo. Wakati Taifa Stars inapewa milion 700 kufuzu Afcon. Bado Machawa wanaoimba na kusifia serikali wanalipwa posho na hela kibao za kucheza.
 
  • Thanks
Reactions: ITR
Wakuu,

Utawala mpya wa Rais wa Marekani Donald Trump umesitisha na kuzuia misaada ya kimarekani kwa nchi za kigeni.

Marco Rubio ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ameripotiwa kutuma barua kwenye balozi zote duniani kusitisha miradi ya maendeleo ambayo inafadhiliwa na Marekani ndani ya siku 90.

Barua ya Marco Rubio imedokeza kuwa ndani ya siku hizo 90, uongozi mpya wa Trump utafanya uchambuzi kuhusu namna ambavyo Marekani itakuwa inatoa misaada yake kwa nchi nyingine ambapo Rais Trump alidokeza kuwa misaada yote inayotolewa nchi za nje lazima ijibu maswali matatu rahisi:
  1. Je, misaada hiyo inachangia kuifanya Marekani kuwa salama?
  2. Je, inaiimarisha Marekani kama taifa lenye nguvu?
  3. Je, inachangia ustawi wa kiuchumi wa Marekani?

Kwa hiyo ndni ya siku 90 iwapo kuna mradi wowote kutoka Marekani ambao hautajibu hayo maswali matatu muhimu kuna uwezekano mkubwa mradi huo ukafutwa kabisa


Uamuzi wa Trump utakavyoiathiri Tanzania

Kwa nchi za Kiafrika na dunia ya 3 kwa ujumla, uamuzi wa Trump ni pigo kubwa kwa taasisi na miradi ya maendeleo inayotegemea msaada kutoka Marekani.

Ukweli mchungu ni kwamba hata baada ya mapitio hayo, hakuna uhakika kuwa mambo yatarejea kama kawaida.

Hatua hiyo imeshaanza kuleta athari na kusababisha wasiwasi miongoni mwa wafanyakazi wa miradi inayofadhiliwa na Marekani, wengi wao wakiwa hawana uhakika wa ajira zao.

Gazeti la Mwananchi lilipata wasaa wa kuzungumza na baadhi ya wafanyakazi ambao baadhi ya miradi yao inafadhiliwa na Marekani wakieleza wasiwasi yao juu ya uamuzi huo wa Rais Trump.

Esther Jackson (sio jina lake halisi), meneja wa mradi wa elimu ya afya ya uzazi jijini Dar es Salaam, amesema kuwa tangazo hilo limeathiri miradi yao moja kwa moja.

"Baada ya maagizo yale, tulitangaziwa ofisini kuwa miradi tuliyokuwa tunaitekeleza itasimama kwa muda. Kwa sasa tumeambiwa hatuna haja ya kwenda kazini mpaka pale tutakapofahamishwa vinginevyo," amesema Jackson.

================================================================

Secretary of State Marco Rubio ordered an immediate stop to the flow of almost all U.S. foreign assistance Friday pending a review, according to an internal State Department cable obtained by NBC News.

The directive sent to all consular and diplomatic posts follows President Donald Trump’s executive order Monday pausing new obligations and disbursements of foreign aid pending reviews "for programmatic efficiency and consistency" with U.S. foreign policy, within 90 days of the order.

The memo stipulates that U.S. departments, agencies and entities “shall not provide foreign assistance funded by or through the Department and USAID without the Secretary of State’s authorization or the authorization of his designee."

Source: Financial Times, Mwananchi
SI huwa mnasema urusi ni supa pawa, mwambieni Mmarekani akizingua yeye aingie mzigoni
 
Wakuu,

Utawala mpya wa Rais wa Marekani Donald Trump umesitisha na kuzuia misaada ya kimarekani kwa nchi za kigeni.

Marco Rubio ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ameripotiwa kutuma barua kwenye balozi zote duniani kusitisha miradi ya maendeleo ambayo inafadhiliwa na Marekani ndani ya siku 90.

Barua ya Marco Rubio imedokeza kuwa ndani ya siku hizo 90, uongozi mpya wa Trump utafanya uchambuzi kuhusu namna ambavyo Marekani itakuwa inatoa misaada yake kwa nchi nyingine ambapo Rais Trump alidokeza kuwa misaada yote inayotolewa nchi za nje lazima ijibu maswali matatu rahisi:
  1. Je, misaada hiyo inachangia kuifanya Marekani kuwa salama?
  2. Je, inaiimarisha Marekani kama taifa lenye nguvu?
  3. Je, inachangia ustawi wa kiuchumi wa Marekani?

Kwa hiyo ndni ya siku 90 iwapo kuna mradi wowote kutoka Marekani ambao hautajibu hayo maswali matatu muhimu kuna uwezekano mkubwa mradi huo ukafutwa kabisa


Uamuzi wa Trump utakavyoiathiri Tanzania

Kwa nchi za Kiafrika na dunia ya 3 kwa ujumla, uamuzi wa Trump ni pigo kubwa kwa taasisi na miradi ya maendeleo inayotegemea msaada kutoka Marekani.

Ukweli mchungu ni kwamba hata baada ya mapitio hayo, hakuna uhakika kuwa mambo yatarejea kama kawaida.

Hatua hiyo imeshaanza kuleta athari na kusababisha wasiwasi miongoni mwa wafanyakazi wa miradi inayofadhiliwa na Marekani, wengi wao wakiwa hawana uhakika wa ajira zao.

Gazeti la Mwananchi lilipata wasaa wa kuzungumza na baadhi ya wafanyakazi ambao baadhi ya miradi yao inafadhiliwa na Marekani wakieleza wasiwasi yao juu ya uamuzi huo wa Rais Trump.

Esther Jackson (sio jina lake halisi), meneja wa mradi wa elimu ya afya ya uzazi jijini Dar es Salaam, amesema kuwa tangazo hilo limeathiri miradi yao moja kwa moja.

"Baada ya maagizo yale, tulitangaziwa ofisini kuwa miradi tuliyokuwa tunaitekeleza itasimama kwa muda. Kwa sasa tumeambiwa hatuna haja ya kwenda kazini mpaka pale tutakapofahamishwa vinginevyo," amesema Jackson.

================================================================

Secretary of State Marco Rubio ordered an immediate stop to the flow of almost all U.S. foreign assistance Friday pending a review, according to an internal State Department cable obtained by NBC News.

The directive sent to all consular and diplomatic posts follows President Donald Trump’s executive order Monday pausing new obligations and disbursements of foreign aid pending reviews "for programmatic efficiency and consistency" with U.S. foreign policy, within 90 days of the order.

The memo stipulates that U.S. departments, agencies and entities “shall not provide foreign assistance funded by or through the Department and USAID without the Secretary of State’s authorization or the authorization of his designee."

Source: Financial Times, Mwananchi
Msaada sio lazima hasa Kwa anayetoa, ni wakati sasa wa viongozi wa Afrika kutumia akili na rasilimali zilizopo kuzinufaisha nchi zao badala ya kutegemea misaada.
 
Trump amefikiria akaona kuna nchi zinamchezea.. Yaani kutinga tu AFCON watu wamelamba milioni 700, bado kuna mamilioni yanatolewa kwenye goli la mama na ngumi ya mama halafu bado hiyo nchi ipo kwenye orodha inasubiria msaada huo ni upumbavu.
Halafu kila siku sherehe za CCM kuita wasanii kizimkazi na kulipa mamilioni huku wakiomba msaada kwa watu wa marekani.
 
Mkuu mataifa ya China na Russia watalitumia vizuri hilo gape, trump ni mwenda wazimu sana, Wenzake walikuwa wanazipembejea nchi duniani kwa mahusiano yeye ndio anaenda kuvunja, Trump sio mtu sahihi sana kwa uongozi wa Marekani
Povu la nini sasa
 
Nawaikate tuu
Sababu tunaishi kama omba omba miaka 64 ya uhuru hatuna hata kiwanda cha toothpick, tumebarikiwa madini, ardhi, mifugo, wanyama, misitu ila watu wanakula bata tuu mTanzania wa chini haneemeki na haya yote
Its time to wake up now... Lets vote wise otherwise tutakopa madeni yatakuwa makubwa wachina watakuja kututawala tena tuwe watumwa kwenye nchi yetu
Kwamba saruji ni rahisi kuitengeneza kuliko toothpick ?
Maana tuna viwanda vya saruji, chokaa, vigae n k
 
Nawaikate tuu
Sababu tunaishi kama omba omba miaka 64 ya uhuru hatuna hata kiwanda cha toothpick, tumebarikiwa madini, ardhi, mifugo, wanyama, misitu ila watu wanakula bata tuu mTanzania wa chini haneemeki na haya yote
Its time to wake up now... Lets vote wise otherwise tutakopa madeni yatakuwa makubwa wachina watakuja kututawala tena tuwe watumwa kwenye nchi yetu

Hivi unadhani ukichagua CHADEMA ndo tutaanza kujitegemea?

Afrika haiwezi KUJITEGEMEA haijawahi tokea na haitawahi kutokea

Hata kwenye Pre Colonial Afrika tulikuwa tunategemea wazungu.
 
Back
Top Bottom