Katika mahojiano yake ya kwanza tangu alipate ushindi wake, rais mteule Donald Trump alisema "hakuna bei" kwa mipango yake ya kufukuzwa nchini. Akizungumza na NBC News jana, alisema:
Kipaumbele chake cha kwanza ni "kuimarisha ulinzi wa mpakani", na utawala wake hauna "budi" ila kutekeleza kuwarejesha makwao wahamiaji wengi - hilo tu ndio suluhisho.
Sera yake ya uhamiaji ni baadhi ya masuala yaliyomfanya kupata ushindi huo, Trump alisema, na wapiga kura walikuwa wanatafuta mgombea "atakayewasaidia" Wamarekani kwa maarifa.
Trump pia alibainisha jinsi kampeni yake ilivyovutia wapiga kura wengi zaidi katika uchaguzi huu - unaweza kusoma zaidi kuhusu hilo hapa Simu zake na Makamu wa Rais Kamala Harris na Rais Joe Biden kufuatia uchaguzi zilikuwa "za heshima sana"
Bado hajazungumza na Rais wa Urusi Putin, lakini akaongeza: "Nadhani tutazungumza" - unaweza kufuatilia kauli ya Putin kuhusu ushindi wa Trump hapa
Kipaumbele chake cha kwanza ni "kuimarisha ulinzi wa mpakani", na utawala wake hauna "budi" ila kutekeleza kuwarejesha makwao wahamiaji wengi - hilo tu ndio suluhisho.
Sera yake ya uhamiaji ni baadhi ya masuala yaliyomfanya kupata ushindi huo, Trump alisema, na wapiga kura walikuwa wanatafuta mgombea "atakayewasaidia" Wamarekani kwa maarifa.
Trump pia alibainisha jinsi kampeni yake ilivyovutia wapiga kura wengi zaidi katika uchaguzi huu - unaweza kusoma zaidi kuhusu hilo hapa Simu zake na Makamu wa Rais Kamala Harris na Rais Joe Biden kufuatia uchaguzi zilikuwa "za heshima sana"
Bado hajazungumza na Rais wa Urusi Putin, lakini akaongeza: "Nadhani tutazungumza" - unaweza kufuatilia kauli ya Putin kuhusu ushindi wa Trump hapa