Trump asisitiza kuwarejesha kwao wahamiaji

Trump asisitiza kuwarejesha kwao wahamiaji

Kwenye suala hili hili la Uhamiaji Trump akili-handle vibaya linaweza likamletea misukosuko kwenye Utawala wake. Awe makini na Mwangalifu Sana kushughulikia suala hili, utawala wake unaweza kuja kuwa mgumu Sana na pengine hata anaweza akaondolewa madarakani kwa njia ya Impeachment endapo kama hatakuwa mwangalifu kwenye suala hili. Kimsingi Marekani purely ni nchi ya Wahamiaji, hata yeye mwenyewe Donald Trump chimbuko lake ni Mhamiaji kutoka nchini Ujerumani.


Trump ni mhamiaji halali lakini kuna waamiaji haramu ambao ndo halali kisheria kushughulika nao. Warudi tu!!!
 
Upi umuhimu wa hiyo elimu sasa?
Hata sijui!.

Mfano unakutana na Prof. alafu ni chawa, unakutana na Prof. alafu atoi mchango bungeni hata kwa mwananchi wake aliyetekwa!.

Kidooogo ondoa yule msomi Dr na yupo kazini hajui siasa na yule msomi anasimamia anachoamini kutokana na elimu yake.

Sijui umuhimu wa elimu hapo.
 
Mnaiba kwenye nchi zenu kisha mnatoroka kujificha nchi za watu, warudishwe tu wakajenge nchi zao
 
Kwenye suala hili hili la Uhamiaji Trump akili-handle vibaya linaweza likamletea misukosuko kwenye Utawala wake. Awe makini na Mwangalifu Sana kushughulikia suala hili, utawala wake unaweza kuja kuwa mgumu Sana na pengine hata anaweza akaondolewa madarakani kwa njia ya Impeachment endapo kama hatakuwa mwangalifu kwenye suala hili. Kimsingi Marekani purely ni nchi ya Wahamiaji, hata yeye mwenyewe Donald Trump chimbuko lake ni Mhamiaji kutoka nchini Ujerumani.
Kwani ni mara ya kwanza. Kushughurikia hili?
 
Kwani ni mara ya kwanza. Kushughurikia hili?
Je, unaelewa kwamba mara ya kwanza Trump alipolishughulikia suala hili lilimsababishia misukosuko mingi yeye binafsi kama Rais pamoja na kusababisha chuki na migawanyiko mikubwa sana ya kijamii kwenye nchi hiyo ya Marekani??? Je, unajua kwamba hata ndani ya chama chake cha Republicans kuliibuka Mgogoro na migawanyiko ya ndani kwa ndani kwenye chama hicho kutokana na suala hili? Do you know this?? Unajua ni kwa nini Rais Trump hadi aliamua kumwita Ofisini kwake yule Jaji aliyeamua Kesi kwenye Mahakama Kuu ya nchi hiyo kuhusiana na suala hili? Do you know the reasons??
 
Maisha yetu chini ya jua, hayajawi kuwa yenye starehe mwanzo mwisho. Kila uchao kuna mambo mapya. Mengine mazuri. Mengine mabaya yenye kuleta ukakasi
 
Wahamiaji toka kwa wavaa kobaz jiandaeni
 
Back
Top Bottom